Mkuu hii ni ile highway?Watani zangu wachaga na misiba ya kusafirisha kituo Mombo usiku, ndugu zangu wapare... Na wale wote wakupiga kituo Mombo wa kula mbuzi choma tamu na moja baridi moja moto.... Chocho hilo amazing.... Its no more... Rest in peace..
Mchana wa leo tarehe hii ya huzuni kuu tingatinga la sirikali limefanya yakeView attachment 1036240View attachment 1036241
Jr
Watani zangu wachaga na misiba ya kusafirisha kituo Mombo usiku, ndugu zangu wapare... Na wale wote wakupiga kituo Mombo wa kula mbuzi choma tamu na moja baridi moja moto.... Chocho hilo amazing.... Its no more... Rest in peace..
Mchana wa leo tarehe hii ya huzuni kuu tingatinga la sirikali limefanya yakeView attachment 1036240View attachment 1036241
Jr
Haswa ukiikumbuka ile harufu ya mkojo wa beberu hatari.Nyama ya mbuzi iwe choma,kaanga,mchuzi zinaniboa. Wavunje pootee