Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,863
- 54,095
Hiyo nyama huwa sili.Allergy mpaka mwisho.Nyama ya mbuzi iwe choma,kaanga,mchuzi zinaniboa. Wavunje pootee
Hiyo nyama huwa sili.Allergy mpaka mwisho.Nyama ya mbuzi iwe choma,kaanga,mchuzi zinaniboa. Wavunje pootee
Kuna kitu nataka nikuambie ila acha nitunze maneno kwa faida ya vizazi vijavyo
Watani zangu wachaga na misiba ya kusafirisha kituo Mombo usiku, ndugu zangu wapare... Na wale wote wakupiga kituo Mombo wa kula mbuzi choma tamu na moja baridi moja moto.... Chocho hilo amazing.... Its no more... Rest in peace..
Mchana wa leo tarehe hii ya huzuni kuu tingatinga la sirikali limefanya yakeView attachment 1036240View attachment 1036241
Jr
Hiii sio poa kwa wafanyabihashara wa nchii hiii. Tunajenga nyumba moja, kwa nini tugombanie fito.Watani zangu wachaga na misiba ya kusafirisha kituo Mombo usiku, ndugu zangu wapare... Na wale wote wakupiga kituo Mombo wa kula mbuzi choma tamu na moja baridi moja moto.... Chocho hilo amazing.... Its no more... Rest in peace..
Mchana wa leo tarehe hii ya huzuni kuu tingatinga la sirikali limefanya yakeView attachment 1036240View attachment 1036241
Jr
hahaa una wazimu ujue😂😂😂yaliyojiri hivi punde@rogie
We jamaa wa ajabu sasa mtu natoka dar anaenda moshi aache nyama mombo apande mpaka lushoto, by the way mombo wanachoma vizuri kuliko lushoto
Sent using Jamii Forums mobile app
@deceiver umenichekesha mno.... Kwa nilichoandika mimi na ulichochangia wewe sijui ni nani mgeni kati yetuWewe Mshana ondoa ugeni. Mbuzi choma Mombo iko juu kidogo njoa ya Lushoto. Wachagga mdipotoshwe. Mkifika petrol station kunjeni kama mnaelekea Lushoto barabara ya pili kulia. Kuna nyama, bia, musiki hata dadapoa wa chapchap. Kinga muhimu
Dah kwa hiyo mimi sina akili... Pengine kweli! but muktadha wa mada haukuwa sababu za kunomolewa bali taarifa ya ubomoziKwa mtu mwenye akili nilitegemea utatoa sababu za kubomolewa kwa eneo hilo vinginevyo una lengo baya la uchonganishi.
In advance;kama hiyo ni road reserve ibomolewe tu haijalishi wanauza beberu na dada zake.
Tunafikaga hapo kuanzia saa 5 usiku na kuendelea wanakuwepogo?Wewe Mshana ondoa ugeni. Mbuzi choma Mombo iko juu kidogo njoa ya Lushoto. Wachagga mdipotoshwe. Mkifika petrol station kunjeni kama mnaelekea Lushoto barabara ya pili kulia. Kuna nyama, bia, musiki hata dadapoa wa chapchap. Kinga muhimu
Kuna kitu nataka nikuambie ila acha nitunze maneno kwa faida ya vizazi vijavyo
2019 hatua 1 yenye mafanikio zaidi