Mbuyu umeota nyumbani kwangu

Mbuyu umeota nyumbani kwangu

Mambo vp wadau, mimi kazi zangu zipo mkoani, ila familia yangu inaishi Dar, wiki iliyopita nimerudi kusalimia familia nimekuta kuna mbuyu umeota pembeni ya Nyumba yangu ambapo kuna kiwanja nimepanga kujenga lakini kila nikipanga kuanza ujenzi mambo yanavurugika pesa inasambaratika na umeota kwenye dirisha la watoto, mke wangu alikua aujui ndo akauacha nami nilikua siujui piano nilifikiri mti wa kawaida ndo maana sikuwekea maanani, leo vibarua wangu walikuja nyumbani ndio wakaniambia ni mbuyu, no umekua una urefu wa futi 18, je nikiukata utaniletea madhara? naomba ushauri wadau.
Ujinga ndo unakurudisha nyuma ndugu yangu, yaani ulivyoandika unataka kuhusianisha mipango kuvurugika na mbuyu. Hiyo nii imani potofu maisha yange kuwa hivyo sehemu zote zenye miti ya Mbuyu pangekuwa na shida. Lakini kwa case yako shida ni wewe mwenyewe utaukata baada ya kujenga utaanza kulalamika kuna joto......
 
Mbuyu ni BAOBAB. Kwahyo Mkuu kata BAO ibaki BAB. Hlo BAO wape wazee wachezee BAB Ingiza ndani
 
Mapinga - Bagamoyo kuna shule inaitwa BAOBAB, ina Form I-VI, kati kati ya shule kuna MBUYU (BAOBAB) na mpk kufikia 2007, Mbuyu ulikuwa na Umri wa 100+ years! Baobab ni moja ya shule nzuri sana na ya gharama pia!
Nimeona bud lao..lipo kama yale ya yanayobeba team ulays huko,ni hatari sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom