Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,737
- 22,807
Kama ni mambo ya kiimani sitachangia, lakini kama ulitaka kufahamu madhara ama faida ya kuwepo kwenye compound yako, ningekudadavulia vzuuuri!
Itoshe tu kusema huo mti kama upo kwako na unaishi maeneo ya Dar uukate hima haufai kuwepo 'site'.
Maana mibuyu ya Dar, aidha kutokana na hali ya hewa ama udongo hukua kupitiliza, waweza kutoboa katikati ukapitisha barabara ya gari.
Na kutokana na ufinyu wa viwanja vyenu, waweza ukajaa mti mmoja ukavunja hata nyumba iliyojengwa.
Ingawa miti hiyo hukua kidogokidogo lakini ina maisha marefu sana kuzidi aina nyingine ya miti hapa Afrika.
Unakadiriwa life span yake ikazidi miaka 1000!
Sent using Jamii Forums mobile app
Itoshe tu kusema huo mti kama upo kwako na unaishi maeneo ya Dar uukate hima haufai kuwepo 'site'.
Maana mibuyu ya Dar, aidha kutokana na hali ya hewa ama udongo hukua kupitiliza, waweza kutoboa katikati ukapitisha barabara ya gari.
Na kutokana na ufinyu wa viwanja vyenu, waweza ukajaa mti mmoja ukavunja hata nyumba iliyojengwa.
Ingawa miti hiyo hukua kidogokidogo lakini ina maisha marefu sana kuzidi aina nyingine ya miti hapa Afrika.
Unakadiriwa life span yake ikazidi miaka 1000!
Sent using Jamii Forums mobile app