patriq
Senior Member
- Apr 17, 2012
- 145
- 53
Wapendwa wanairamba, kuna hii ishu ya mheshimiwa wetu, mashuhuri kama campaign manager wa ccm, kaingia mitini akifanya kazi ya kutafutia wengine ubunge wakati hali ya iramba magharibi inazidi kuwa mbaya kimaendeleo. Naleta hoja kwenu kwamba tumuulize mheshimiwa ahadi alizotuahidi wakati wa kampeni zake atazitimiza lini? Au anasubiri 2015 aje tena kudai kwamba hakutimiza ahadi zote hivyo tumpe miaka mingine mitano ili atimize?
Nashauri tumwajibishe ili tabia hii ya umeneja aachane nayo, tusipoangalia atakapokuja tukamwongezea miaka mitano tena, ataingia mitini na atakaporudi atakuwa si meneja tena bali campaign director. Mheshimiwe jitokeze jf utueleze mikakati yako ukifahamu kwamba jimbo tulikuazima kwa imani kwamba utashirikiana nasi kuleta maendeleo lakini tangu tukuazime hatujawahi hata kukuona ukitueleza mikakati ya maendeleo zaidi ya kushuhudia matusi igunga na alumeru mashariki, ukitoa hoja zilizo sinyaa kwa kukosa nguvu, come up mheshimiwz na useme kitu.
Vinginevyo 2015 utaungana na mwenzio aliyekuachia kijiti kwani hatuna utani tena katika maendeleo. Haiwezekani wewe uwe campaign manager wa ulaji wa wenzio wakati unatakiwa uwe campaign manager wa maendeleo yetu. Njoo tazama shule zetu za sekondari zinavyofelisha watoto kila mwaka, vitabu, uwajibikaji "tile ka kintu uwe wi kalansile du mu ukampeni meneja" we hope you will see this and give us your stand before we start seeking for alternatives. C4m daima.
Nashauri tumwajibishe ili tabia hii ya umeneja aachane nayo, tusipoangalia atakapokuja tukamwongezea miaka mitano tena, ataingia mitini na atakaporudi atakuwa si meneja tena bali campaign director. Mheshimiwe jitokeze jf utueleze mikakati yako ukifahamu kwamba jimbo tulikuazima kwa imani kwamba utashirikiana nasi kuleta maendeleo lakini tangu tukuazime hatujawahi hata kukuona ukitueleza mikakati ya maendeleo zaidi ya kushuhudia matusi igunga na alumeru mashariki, ukitoa hoja zilizo sinyaa kwa kukosa nguvu, come up mheshimiwz na useme kitu.
Vinginevyo 2015 utaungana na mwenzio aliyekuachia kijiti kwani hatuna utani tena katika maendeleo. Haiwezekani wewe uwe campaign manager wa ulaji wa wenzio wakati unatakiwa uwe campaign manager wa maendeleo yetu. Njoo tazama shule zetu za sekondari zinavyofelisha watoto kila mwaka, vitabu, uwajibikaji "tile ka kintu uwe wi kalansile du mu ukampeni meneja" we hope you will see this and give us your stand before we start seeking for alternatives. C4m daima.