BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
...............hizi zawadi ndogo ndogo ndizo zinazowacost kwa miaka mitano.Mtoa hoja wewe ndio haupo Iramba, Mwigulu tar 23 alikuwa Ng'anguli, Maluga na Kitusha, Tar 24 alikuwa Uwaza na Galangala, tar 25 alikuwa kisharita na kijiji kimoja kati pale, na sisi vijana wa standi na kwenye pikipiki alituwezesha vitendea kazi,(mliwezeshwa pikipiki ngapi maana hvyo ndivyo vitendea kazi vyenu) sokoni amefuta ushuru wa bidhaa ndogondogo(wenye uwezo wa kufuta ushuru ni vikao halali vya madiwani na sio mtu moja/mwigulu). Mnyonge mnyongen ila haki yake mpeni, Mwigulu ni ZAIDI YA MBUNGE ANAFAA HATA UONGOZ MKUBWA ZAIDi(). Anayebisha na anayejidanganya kupitia humu atapata majibu tokea kwa wanyiramba(jisemee mwenyewe usitusemee wenzio) wenyewe. Kwa hili mwigulu wala usijibizane na wenye wivu