Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

Pension unapokea maisha yako yote ni uha8 wako tu hiyo miaka 12.5 ni mambo yao tu ya mahesabu yao.Lakini pension ya mwezi utapokea mpaka unafariki mfano kuna waliostaafu 1990 hadi leo miaka 34 bado wanalipwa pension yao ya kila mwezi .Hiyo kusema ni miaka 12.5 sio sahihi kuwa baada ya muda huo inakatika sio kweli
Tatixo unakuta hata baadhi ya wabunge unakuta kakomaa hana akijuacho kichwani anaongea kwa kujiamini na ujinga wake anasema pension kulipwa mwisho miaka 12.5 yaani mpaka nasikitika kwa kweli baadhi ya wabunge waliomo mule labda waliingia kwa kuloga sio kwa sifa za weledi.Mbunge akamalia hilo mbishi .Si aulize hata wazee wastaafu tu wamwambie walioko mitaani? Ndio maana wengine wanssema wabunge wengi mule wanawakilisha nafsi zao sio mawazo ya wananchi.Kitu kidogo tu hicho mbunge alipaswa akijue.Kuwa pension ya kila mwezi mtu hulipwa kila mwezi hadi kifo chake.Ndio maana ya mwezi ikiwa kubwa ni bora zaidi kwa mstaafu sababu ndio maisha yake yatakuwa huko ili asije kusumbua ndugu na mikelele kuwa ohh hamnitunzi au kulaumu serikali kuwa ohh tulifanya kazi jwa 8aminifu serikali imetusahau kikotoo kimezingatia hilo.kuogopa lawama mbele ya safari mtu akiwa kikongwe asijiweza
Sawa ila kwenye FAO la kujitoa Kwa Wafanyakazi wa private sector ambao hawana permanent terms hakuna Haki kabisa.

Wengine wako Sekta ya Umma ila sio permanent terms Ajira zao zikikata Huwa hawatendewi Haki Kwa kuwa FAO la kujitoa halipo.
 
Mkuu hao watu wamenyweshwa maji ya bendera ya ccm na kubugia moshi wa mwenge
Utoto unakusumbua ukistaafu ndipo utajua umuhimu wa hicho kikokotoo kukupa pension ya kila mwezi kuwa kubwa.

Kuna wengine akili hukomaa mapema wengine akili zai huchelewa kukomaa ya kwako iko kundi la pili.Unakuja kuelewa asubuhi wakati kumekucha
 
Kuna maujinga mengi tutaendelea kuyaona, na bado
JPM alisema tutamkumbuka, this is just the beginning.... badala ya wananchi kupata unafuu, viongoz ndo wanataka mwanchi aendelee kubanwa na hali hii ngumu ya maisha, ndo maana napenda kuwaambia watu bora kuwa self employee tu. Hivi wanajua risk gan waajiliwa waliweka kulitumikia taifa? Na sku hizi kulivyo hakuna upinzani sijui tu na viongozi wenyewe ndo hawa machawa awasio na manufaa🤣🤣🤣
Wewe mbuzi unaemkumbuka JPM huyo ndio kasababisha mabalaa yote haya ya kikokotoo Kwa kutunga sheria Mpya ila akatoa mda wa mpito.

Pili Mwendazake hiyo huyo ndio alichukua mabilioni ya mifuko na Kupeleka huko mnakoita kwenye Sgr ,mifuko ikayimba Hadi kesho ikataka Kufa akaunganisha.

Mwendazake huyo huyo na akili zake finyu ndio Ali drive mifuko kwenye very risky projects mfano Kilimo na viwanda kote huko vinaleta hasara ya Kufa mtu.

So punguza upunguani wako kabla ya kuropoka.
 
Mwisho nakubaliana na wewe kwenye malipo ya mkupua hapo ilitakiwa aliyechangia zaidi alipwe zaidi ila kule kwenye malipo ya mwisho wa mwezi aliyetumika zaidi alipwe kikubwa kama ulivyoelezea.
Aliyechangia zaidi analipwa zaidi sababu kikotoo kina base kwenye mshahara

Tuchukue mfano rahisi usioenda ndani sana kwenye calculations za kitaalamu

Mfano wote wawili wamefanya kazi miaka 10. Wote wawili na wote wamechangia mfuko wa Pension miaka 10

Mmoja mshara wake milioni 2

Meingine mshahara wake laki.4

Sasa piga hesabu mfano mtu akistaafu.analipwa asilimia 25

Yule wa wa milioni 2 atakipwa hela ya mkupuo laki 5 kama asilimia 25 yake na huyo wa laki 4 atalipwa hela ya mkupuo laki moja kama asilimia 25 yake

Hakuna mahali huyo mwenye kipato cha laki nne atampita huyo wa kipato cha milioni mbili iwe kwenye pesa ya mkupuo au pension ya kila mwezi hawezi kwa kikokotoo cha sasa

Huko nyuma yalikuwepo hayo kulipokuwa na mifuko tofauti tofauti baadhi isiyozingatia utaalamu na haki yaani equity
 
Aliyechangia zaidi analipwa zaidi sababu kikotoo kina base kwenye mshahara

Tuchukue mfano rahisi usioenda ndani sana kwenye calculations za kitaalamu

Mfano wote wawili wamefanya kazi miaka 10. Wote wawili na wote wamechangia mfuko wa Pension miaka 10

Mmoja mshara wake milioni 2

Meingine mshahara wake laki.4

Sasa piga hesabu mfano mtu akistaafu.analipwa asilimia 25

Yule wa wa milioni 2 atakipwa hela ya mkupuo laki 5 kama asilimia 25 yake na huyo wa laki 4 atalipwa hela ya mkupuo laki moja kama asilimia 25 yake

Hakuna mahal8 huyo mwenye kipato cha laki nne atampita huyo wa kipato cha milioni mbili iwe kwenye pesa ya mkupuo au pension ya kila mwezi hawezi
Wakikaribiana atampita na ndio maana wewe umetoa mfano mzuri hapo awali.
 
Wakikaribiana atampita na ndio maana wewe umetoa mfano mzuri hapo awali.
Zamani wakati mifuko iko mingi walikuwa wanapita na unfair unakuta mfanyakazi wa serikali mshahara laki sita akistaafu mkupuo analipwa hela nyingi kuliko mfanyakaxi anayepata mshahara milion
2 kwenye taasisi za serikali na sekta binafsi na anayechangia pesa nyingi hata kama wote wamefanya kazi miaka kumi.

Kikokotoo kipya hayo hayapo mtu anapata chake haki yake .Huko zamani ulikuwa uhuni usiozingatia proffesinalism ilikuwa bora liende na mifuko ingekufa
 
Hivi huyu kilaza anaufahamu Watumishi ni kada ya wale waliokuwa wanapata one ya 7 form four na ya Tatu six? Anajua kuwa ndio maprofesa na makuu ya idara mbalimbali? Sasa huyo ndio aje aelimishwe na yeye mpiga Domo tuu?
 
Hivi huyu kilaza anaufahamu Watumishi ni kada ya wale waliokuwa wanapata one ya 7 form four na ya Tatu six? Anajua kuwa ndio maprofesa na makuu ya idara mbalimbali? Sasa huyo ndio aje aelimishwe na yeye mpiga Domo tuu?
Namba yake hii hapa huyu mbunge mjaa laana 0755002068
 
Shida yao ni moja wangewauliza hao wanaosema hiko kikokoto uonevu ebu waelezee jinsi watakavyo fund hizo pension scheme.

Mchangiaji anakatwa 5% ya mshahara wake, serikari inachangia 15% ya mshahara wake (mpaka hapo inaonyesha) serikali inawajali na kuwafikiria wastaafu.

Makusanyo ya serikali kwa sasa ni kama trillion mbili mishahara pekee ya watumishi ni karibu 40% ya makusanyo jumlisha na 15% ya kulipa pension schemes kila mwezi. Watumishi pekee wanachukua kama 55%. Bado madeni mengine ya serikali yana chukua kama 30% kila mwezi nchi inabakiwa na 15% ya kufanya mambo mengine.

Walipa kodi wengine kama wafanyabiashara mambo yao yana kwama kwa sababu serikali aiwezi kuwekeza kwenye miundombinu ya uzalishaji kama umeme, barabara za kufungua nchi, maji, ulinzi wa masaa 24, matibabu ya watu wasio na kipato na sehemu.

Wangewauliza hao wanaopiga kelele how they will fund those schemes hela watatoa wapi; serikali imewapa scheme nzuri huko kwenye pension fund hizo hela wasiende kuwekeza kwenye investment za hovyo ili watu waambulie chochote. Mitumishi ya umma na payoyo wengine kazi yao kupiga makelele (sehemu kubwa ya madeni ya serikali kwenye pension funds ni delayed top ups za pension za watumishi).

Wangewaita hao wapiga kelele na kuwauliza how exactly they will fund those pensions schemes. Watumishi wa umma hii nchi wanadekezwa sana na watu wasio na shukran.

Watumishi Tanzania wao kila kitu rahisi kwenywe vichwa vyao, serikali inawachekea sana hii mijitu.
Hoja fikirishi sana hii

Heshima kwako

Nimeanza kuwaza kivingine
 
Shida yao ni moja wangewauliza hao wanaosema hiko kikokoto uonevu ebu waelezee jinsi watakavyo fund hizo pension scheme.

Mchangiaji anakatwa 5% ya mshahara wake, serikari inachangia 15% ya mshahara wake (mpaka hapo inaonyesha) serikali inawajali na kuwafikiria wastaafu.

Makusanyo ya serikali kwa sasa ni kama trillion mbili mishahara pekee ya watumishi ni karibu 40% ya makusanyo jumlisha na 15% ya kulipa pension schemes kila mwezi. Watumishi pekee wanachukua kama 55%. Bado madeni mengine ya serikali yana chukua kama 30% kila mwezi nchi inabakiwa na 15% ya kufanya mambo mengine.

Walipa kodi wengine kama wafanyabiashara mambo yao yana kwama kwa sababu serikali aiwezi kuwekeza kwenye miundombinu ya uzalishaji kama umeme, barabara za kufungua nchi, maji, ulinzi wa masaa 24, matibabu ya watu wasio na kipato na sehemu.

Wangewauliza hao wanaopiga kelele how they will fund those schemes hela watatoa wapi; serikali imewapa scheme nzuri huko kwenye pension fund hizo hela wasiende kuwekeza kwenye investment za hovyo ili watu waambulie chochote. Mitumishi ya umma na payoyo wengine kazi yao kupiga makelele (sehemu kubwa ya madeni ya serikali kwenye pension funds ni delayed top ups za pension za watumishi).

Wangewaita hao wapiga kelele na kuwauliza how exactly they will fund those pensions schemes. Watumishi wa umma hii nchi wanadekezwa sana na watu wasio na shukran.

Watumishi Tanzania wao kila kitu rahisi kwenywe vichwa vyao, serikali inawachekea sana hii mijitu.
Wewe nawe ni viti maalum, ungekuwa unatoka jimboni ungekuwa angalau na uwezo wa kufikiri.
 
Mijitu inayo tetea hicho kikokotoo ni kama haijielewi!

Ili mtumishi afurahie hicho kikokotoo, basi serikali iboreshe mishahara ya watumishi! na ikiwezekana kuwe na scale ya aina moja kulingana na daraja husika kwa watumishi woote, iwe mashirika, serikali kuu na serikali za mitaa.

Kikokotoo hichi kinawaumiza sana watumishi wa serikali za mitaa (Waalimu, madaktari, wauguzi, etc)
 
Ungeelezea kama pension funds ina uwezo wa kutoa lump sums kwa kila mtu na mfuko ukabaki financial stable ndio ningekuelewa.

Mkitoka hapo mnaanza kulia mpewe annual increments za mishahara. Kwenye vichwa vyenu serikali ina mti wa kuchuma hela. Wakati wafanyabiashara wadogo wanakamuliwa VAT huko na wakati maeneo yao ya masoko ni fire hazards na serikali aifanyi chochote kuboresha mazingira kila siku yanaungua.

Ifike wakati serikali iwaambie ukweli watumishi Tanzania wanaishi lala land, wanapendelewa sana bila ya wao kujua ni kiasi gani cha keki ya taifa wanakula wao.
Ukiambiwa huna akili utabisha!
 
Ungeelezea kama pension funds ina uwezo wa kutoa lump sums kwa kila mtu na mfuko ukabaki financial stable ndio ningekuelewa.

Mkitoka hapo mnaanza kulia mpewe annual increments za mishahara. Kwenye vichwa vyenu serikali ina mti wa kuchuma hela. Wakati wafanyabiashara wadogo wanakamuliwa VAT huko na wakati maeneo yao ya masoko ni fire hazards na serikali aifanyi chochote kuboresha mazingira kila siku yanaungua.

Ifike wakati serikali iwaambie ukweli watumishi Tanzania wanaishi lala land, wanapendelewa sana bila ya wao kujua ni kiasi gani cha keki ya taifa wanakula wao.
Kuna watu hawana shukrani na serikali.Mtu anachangia 5% pension serikali inamchangia 15 % ya pension kila mwezi bado analeta kelele.Hovyo kabisa Wasimuamushe aliyelala akiamka watalala wao
 
Hii nchi tukiambiwa kuna vivutio vingi vya utalii tukubali tu moja kwa moja. Mambo kama haya ndiyo yanayotudidimizakila siku.
 
Aliyechangia zaidi analipwa zaidi sababu kikotoo kina base kwenye mshahara

Tuchukue mfano rahisi usioenda ndani sana kwenye calculations za kitaalamu

Mfano wote wawili wamefanya kazi miaka 10. Wote wawili na wote wamechangia mfuko wa Pension miaka 10

Mmoja mshara wake milioni 2

Meingine mshahara wake laki.4

Sasa piga hesabu mfano mtu akistaafu.analipwa asilimia 25

Yule wa wa milioni 2 atakipwa hela ya mkupuo laki 5 kama asilimia 25 yake na huyo wa laki 4 atalipwa hela ya mkupuo laki moja kama asilimia 25 yake

Hakuna mahali huyo mwenye kipato cha laki nne atampita huyo wa kipato cha milioni mbili iwe kwenye pesa ya mkupuo au pension ya kila mwezi hawezi kwa kikokotoo cha sasa

Huko nyuma yalikuwepo hayo kulipokuwa na mifuko tofauti tofauti baadhi isiyozingatia utaalamu na haki yaani equity
Hauko sahihi, ukisoma andiko langu utaona nimetolea mfano vizuri. Ni hivi: kama watumishi wawili wamefanya kazi muda unaolingana ni kweli yule mwenye mshahara mkubwa atamzidi mwenye mshahara mdogo lakini kana mwenye mshahara mdogo anefanya kazi muda-mrefu kuliko nwenye mshahara mkubwa lakini amechangia kidogo kuliko mwenye nshahara mkubwa basi yule mwenye nshahara mkubwa atazidiwa malipo lakini itategemea mishahara yao inatofautiana kwa kiasi gani. Hiyo asilimia sio fixed kuwa mtu analipwa asilimia fulani ya mshahara wake; isipokuwa anacholipwa kwa mwezi ukikitafutia ni asilimia ngapi ya mshahara ndipo utaona ni asilimia 25 au chini. Nilichosema pensheni ya nwezi ingekuwa fixed kwa asilimia ya mshahara wa mtu hapo ndipo fairness ingekuwepo.. Nilitolea mfano wa watumishi wawili ambao wametofautiana kwa shilingi milioni na ushee kwa mshahara lakini mwenye mshahara mdogo anapata laki nane na nwenye mshahara mkubwa anapata laki sita sababu tu huyu mmoja amefanya kazi miaka mingi kuliko huyu wa pili.

Fanya practical analysis ya watumishi wawili wanaotofautiana muda wa miaka ya utumishi na mishahara mmoja muda nfupi na nshahara mkubwa na nwingine muda nrefu na mshahara-mdogo utathibitisha nilichosema..
Ndio maana pensheni haiko fixed bali ina range kati ya asilimia 24 hadi 44 hivi kutegemeana na factior za muda.
 
Back
Top Bottom