TANZIA Mbunge wa Viti Maalum, Halima Nasoor (CCM) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Viti Maalum, Halima Nasoor (CCM) afariki dunia

Ulivyo punguani unashangilia mtu KUFA!

We pia MWANGA, wazazi wako WANGA, ukoo Mzima mmejaa wachawi watupu ndo mana unakuja na SONONA zako hapa kushangilia vifo två watu usiowajua mjinga MWANGA wewe UMEKULA/LISHWA Damu / Nyama za watu KATUBU Mapema si tuko AHERA huku tunakusubiri mgeni Chumba umeandaliwa.

Sauti toka kuzimu
usilete taharuki
kifo ni kifo tu
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Halima Idd Nassor, kilichotokea leo Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.

"Kwa masikitiko makubwa, natangaza kifo cha Mbunge wa Viti Mheshimiwa Halima Idd Nassoro kilichotokea leo 18 Januari, 2026 Jijini Dar es Salaam. Natoa pole kwa Waheshimiwa Wabunge wote, familia ya Marehemu, ndugu, jamaa na marafiki, Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu," amesema Mheshimiwa Spika.

Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya Marehemu inaratibu mipango ya mazishi na taarifa zaidi zitaendelea kutolewa. "Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un", Amina.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma Ofisi ya Bunge​
Dodoma​
18 Januari, 2026​

Waooo, tumpe nini Mungu kwa maana sifa na utukufu ni vyake..Humu tuuuuu!!!!
R.I.P MH.HALIMA,
Mwenyezi Mungu akuweke mahali unapostahili, Aimen:ddHuh:
 
Alitoa pole kwa waliouliwa mo29 ili yeye na chama chake wakae madarakani?
 
Anajivunia sasa hivi kabadilika kuwa mwarabu. Ndio sababu kuu na ya kipekee mijitu mieusi kuwa miislamu.

Makebo Munch wa Annabelle kahtaan Al-mukheef

adriz de mbusii
Wewe hausboy wa bibi wa kizungu, sikiliza bora sisi tunajua mtume alikuwa mwarabu, sasa nyinyi mnakubali vipi yesu aliukuwa mweusi tii abadilshwe na kufanywa mzungu kwa sababu weusi kwa wazungu ni uchafu kwao
Ndio maana waisraeli hawamuamini yesu sababu wanajua hakuwa mzungu
 
JAMANI, KWA YEYOTE AMBAE NDUGU YAKE ALIUAWA MO29, NA ALIBAHATIKA KUPATA MWILI NA WAKAZIKA, FANYA HIVI.

Nunua sindano mpya 1, usiku wa siku yoyote nenda kaburini, simama mbele ya kaburi, chomeka sindano kwenye udongo wa kaburi huku unafanya manuizi Yako ukiomba KWA YEYOTE ALIEHUSIKA NA KIFO....endelea kuomba kulipa kisasi Kwa utakavyoona inafaa.

2 a) Nenda kaburini (kaburi lolote) ukiwa na kisu na bahasha au mifuko na sarafu Kwa namba witiri(3,5,7 etc).

b) Ukifika kabirini bisha hodi Kwa kutaja kina la aliezikwa hapo na kustate kuwa umeenda pale Kwa amani.

c) chimba Kwa kisu, pale wanaposimika msalaba (kichwani) kimo kama Cha nchi 4+, kisha chukua udondo pale uweke kwenye bahasha.

d) dumbukiza sadaka Yako zile sarafu Kwa namna witiri ukinuia Kuwa unatoa sadaka Kwa roho ya yule aliezikwa pale Kwa kazi unayotaka akakufanyie (itaje)

e) Fukia shimo, kisha kabla hujaondoka chukua udongo kiasi urushe juu ukisema WEWE ROHO WA ...(JINA LA ALIEZIKWA PALE) NENDA KILA MAHALI, NENDA MASHARIKI, NENDA MAGARIBI, KASKAZINI NA KUSINI, MTAFUTE FULANI BIN FULANI (MTAJE POLISI UNAEMJUA MAJINA) MFANYIE HIVI NA HIVI (TAJA UNAVYOTAKA .

Baada ya hapo nenda na huo udongo (grave yard dust) nyumbani kwako.

MATUMIZI.

Nyunyiza udongo huo nyumbni Kwa polisi au mbaya wako

Au tengeneza tonge (ball) Kwa huo udongo, Kisha usiku nenda kaurushie juu ya nyumba ya huyo mshenzi Kwa manuizi yake uliyonuia pale kaburini pindi unachukua udongo.

CHEKI SHUGHULI YAKE.

Samahanini Kwa kuwafundisha kuroga

NOTE.
Hiyo ya sindano ni hatari sana, lakini uwe unamjua mhusika majina yake na awe amehisika kweli.

Unaweza ukanuia Kwa kuwaita majina watu hata 10, kati ya hao wote, kama Yumo mmoja mhusika manuizi yatamshika yeye peke yake.

Hii ya sindano Nina uhakika nayo
 
Mbona na wewe ulishangalia vifo vya wengine, kwako kitamu kwa mwenzio kichungu
Sijawai kushangilia kifo cha mtu yeyote hapa duniani.
Ila kwenye battle nikiona Unataka kuniwai nakuwahi haraka sana.
Kama wale walikua na mapanga,wanaiba na kuchoma vitu vya watu hata wewe huwezi kuwaacha.
 
Sijawai kushangilia kifo cha mtu yeyote hapa duniani.
Ila kwenye battle nikiona Unataka kuniwai nakuwahi haraka sana.
Kama wale walikua na mapanga,wanaiba na kuchoma vitu vya watu hata wewe huwezi kuwaacha.
Kama wewe ulivyofurahi wale waandamianaji kuwahiwa waache nao wafurahie wanapokufa watesi wao
Usitumia double standard
 
Hakupata hata muda wa kutubu moja kwa moja motoni
 
Back
Top Bottom