kimaus
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 584
- 707
Kama mkaazi wa Kivule/Kitunda, inaumiza sana kuona tuna mbunge ambaye haona aibu jimbo lake kuwa na barabara mbovu kuliko zote Dar esalaam.
Barabara ya kutoka Ukonga Banana kupitia Kitunda, Kivule hadi Msongola ni kama haipitiki, imejaa mahandaki, madimbwi ya maji kiasi kwamba kutoka Banana kufika Kivule fremu 10 unaweza kutunia saa nzima au zaidi!!
Ulisema kwa kuwa ulikuwa upinzani ndio maana hukuwa unatengewa bajeti za maendeleo, sasa umerudi chama tawala, mbona barabara hii haijengwi?
Jisikie aibu hata kidogo, kama huwezi kushawishi tukajengewa hii barabara then 2020 go back to Rorya, this is Dar es Salaam in 2019, we don't deserve to have roads like this one!
Barabara ya kutoka Ukonga Banana kupitia Kitunda, Kivule hadi Msongola ni kama haipitiki, imejaa mahandaki, madimbwi ya maji kiasi kwamba kutoka Banana kufika Kivule fremu 10 unaweza kutunia saa nzima au zaidi!!
Ulisema kwa kuwa ulikuwa upinzani ndio maana hukuwa unatengewa bajeti za maendeleo, sasa umerudi chama tawala, mbona barabara hii haijengwi?
Jisikie aibu hata kidogo, kama huwezi kushawishi tukajengewa hii barabara then 2020 go back to Rorya, this is Dar es Salaam in 2019, we don't deserve to have roads like this one!