Mbunge wa Uingereza ahoji alipo Netanyahu

Mbunge wa Uingereza ahoji alipo Netanyahu

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,395
Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba

Mar 14, 2026 08:05 UTC

[https://media]

Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Galloway amesema video hiyo ya AI iliyogubikwa na kasoro nyingi ikiwemo Netanyahu akiwa na vidole sita imeibua masuali mengi bila majibu, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu nduli huyo wa vita wa Israel.

Katika ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa kijamii wa X kuhusu video hiyo bandia ya Netanyahu, Galloway ambaye amewahi kuwa Mbunge katika Bunge la Uingereza ameandika: Je hili limefanyika kweli? Kwa nini Israel ilisambaza hotuba ya Akili Mnemba ya Netanyahu usiku uliopita, ambapo Waziri Mkuu huyo ameonekana dhahiri akiwa na vidole sita? Yuko wapi (Netanyahu)? Yuko wapi Ben Gvir?

Galloway ameshangazwa pia na hatua ya vyombo vya habari vya Magharibi ya kufumbia macho video hiyo bandia ya Netanyahu na kutouliza masuali mazito kuhusu aliko mtawala huyo wa Israel.

Netanyahu hajaonekana hadharani wala kusambaza hotuba zake za video kwa siku kadhaa sasa, tangu vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viliposhadidisha mashambulizi ya kulipiza ya kisasi ya Ahadi ya Kweli ya 4.

Siku chache zilizopita, uvumi ulienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba yumkini Netanyahu na maafisa kadhaa wa serikali yake wameangamizwa au kujeruhiwa vibaya katika hujuma za makombora ya Iran.

Hivi karibuni, tovuti ya Middle East Minitor iliandika makala ya uchambuzi kuhusu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kiziayuni wa Israel ikisema kuwa vita hivi ambavyo Benjamin Netanyahu amejiandaa kwa ajili yake kwa miaka mingi yumkini vikapelekea kutengwa kisiasa na kuporomoka stratejia yake.

Kingine kinachobua masuali kuhusu uzima wa Netanyahu ni kufutwa ghafla safari ya Jared Kushner (mkwe wa Rais wa Marekani) na Steve Witkoff, Mjumbe Maalumu wa Donald Trump katika eneo la Asia Magharibi, ambao walitazamiwa kwenda Israel na kukutana na Netanyahu

20260314_193204.jpg
20260314_190912.jpg
20260314_190906.jpg
20260314_032212.jpg
 
Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba

Mar 14, 2026 08:05 UTC

[https://media]

Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Galloway amesema video hiyo ya AI iliyogubikwa na kasoro nyingi ikiwemo Netanyahu akiwa na vidole sita imeibua masuali mengi bila majibu, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu nduli huyo wa vita wa Israel.

Katika ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa kijamii wa X kuhusu video hiyo bandia ya Netanyahu, Galloway ambaye amewahi kuwa Mbunge katika Bunge la Uingereza ameandika: Je hili limefanyika kweli? Kwa nini Israel ilisambaza hotuba ya Akili Mnemba ya Netanyahu usiku uliopita, ambapo Waziri Mkuu huyo ameonekana dhahiri akiwa na vidole sita? Yuko wapi (Netanyahu)? Yuko wapi Ben Gvir?

Galloway ameshangazwa pia na hatua ya vyombo vya habari vya Magharibi ya kufumbia macho video hiyo bandia ya Netanyahu na kutouliza masuali mazito kuhusu aliko mtawala huyo wa Israel.

Netanyahu hajaonekana hadharani wala kusambaza hotuba zake za video kwa siku kadhaa sasa, tangu vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viliposhadidisha mashambulizi ya kulipiza ya kisasi ya Ahadi ya Kweli ya 4.

Siku chache zilizopita, uvumi ulienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba yumkini Netanyahu na maafisa kadhaa wa serikali yake wameangamizwa au kujeruhiwa vibaya katika hujuma za makombora ya Iran.

Hivi karibuni, tovuti ya Middle East Minitor iliandika makala ya uchambuzi kuhusu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kiziayuni wa Israel ikisema kuwa vita hivi ambavyo Benjamin Netanyahu amejiandaa kwa ajili yake kwa miaka mingi yumkini vikapelekea kutengwa kisiasa na kuporomoka stratejia yake.

Kingine kinachobua masuali kuhusu uzima wa Netanyahu ni kufutwa ghafla safari ya Jared Kushner (mkwe wa Rais wa Marekani) na Steve Witkoff, Mjumbe Maalumu wa Donald Trump katika eneo la Asia Magharibi, ambao walitazamiwa kwenda Israel na kukutana na Netanyahu

View attachment 3558047View attachment 3558048View attachment 3558049View attachment 3558050
Itafahamika tu n swala la mda.....
 
Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba

Mar 14, 2026 08:05 UTC

[https://media]

Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Galloway amesema video hiyo ya AI iliyogubikwa na kasoro nyingi ikiwemo Netanyahu akiwa na vidole sita imeibua masuali mengi bila majibu, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu nduli huyo wa vita wa Israel.

Katika ujumbe alioutuma kwenye mtandao wa kijamii wa X kuhusu video hiyo bandia ya Netanyahu, Galloway ambaye amewahi kuwa Mbunge katika Bunge la Uingereza ameandika: Je hili limefanyika kweli? Kwa nini Israel ilisambaza hotuba ya Akili Mnemba ya Netanyahu usiku uliopita, ambapo Waziri Mkuu huyo ameonekana dhahiri akiwa na vidole sita? Yuko wapi (Netanyahu)? Yuko wapi Ben Gvir?

Galloway ameshangazwa pia na hatua ya vyombo vya habari vya Magharibi ya kufumbia macho video hiyo bandia ya Netanyahu na kutouliza masuali mazito kuhusu aliko mtawala huyo wa Israel.

Netanyahu hajaonekana hadharani wala kusambaza hotuba zake za video kwa siku kadhaa sasa, tangu vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viliposhadidisha mashambulizi ya kulipiza ya kisasi ya Ahadi ya Kweli ya 4.

Siku chache zilizopita, uvumi ulienea kwenye mitandao ya kijamii kwamba yumkini Netanyahu na maafisa kadhaa wa serikali yake wameangamizwa au kujeruhiwa vibaya katika hujuma za makombora ya Iran.

Hivi karibuni, tovuti ya Middle East Minitor iliandika makala ya uchambuzi kuhusu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kiziayuni wa Israel ikisema kuwa vita hivi ambavyo Benjamin Netanyahu amejiandaa kwa ajili yake kwa miaka mingi yumkini vikapelekea kutengwa kisiasa na kuporomoka stratejia yake.

Kingine kinachobua masuali kuhusu uzima wa Netanyahu ni kufutwa ghafla safari ya Jared Kushner (mkwe wa Rais wa Marekani) na Steve Witkoff, Mjumbe Maalumu wa Donald Trump katika eneo la Asia Magharibi, ambao walitazamiwa kwenda Israel na kukutana na Netanyahu

View attachment 3558047View attachment 3558048View attachment 3558049View attachment 3558050
FB_IMG_1773513640739.jpg
 
hicho ndicho ambacho watu wa islamic republic of iran kama tanzagiza hawana, freedom of expression, fikiria tu for a second huyo ni mbunge na anaweza kuhoji bila ya hofu yoyote, sasa mbunge wa islamic republic kwa mfano anaweza kuhoji alipo labda raisi tanzagiza au ayatola na kasalimika? rejea Lipumba0 alitoa tu maoni yake tena kama mpinzani kesho yake kafukuzwa kwenye chama chake na msajili wa vyama wa islamic republic kwa kuhoji tena kama mpinzani, unajiuliza kazi ya mpinzani ni ipi sasa kama wote ni lazima wamsifie tu raisi aliyepo?.

wairani kama watanzagiza wanastahili kukombolewa ...
 
Back
Top Bottom