The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 586
- 1,697
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
NCCR Mageuzi
Makamanda wataanza kumtukana, kama kawaida yao.
Ulitaka tumpongeze na champagne?Makamanda wataanza kumtukana, kama kawaida yao.
Nasikia wewe na jamaa yako Mussa Allan mpo mbioni kumfuata Kubenea, alipo tupoMagonjwa Mtambuka ni pamoja na corona?
In God we Trust