The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 617
- 1,800
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
NCCR Mageuzi
Makamanda wataanza kumtukana, kama kawaida yao.
Ulitaka tumpongeze na champagne?Makamanda wataanza kumtukana, kama kawaida yao.
Nasikia wewe na jamaa yako Mussa Allan mpo mbioni kumfuata Kubenea, alipo tupoMagonjwa Mtambuka ni pamoja na corona?
In God we Trust