Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,238
Siasa za kishamba za ccm kwa kushirikiana kikamilifu na JESHI LA POLISI zimeendelea kushika kasi mjini Tunduma , Na sasa wamemtengenezea kesi mbunge wa eneo hilo Mh Mwakajoka.
Wanachama wengine zaidi ya kumi wa Chadema wamekamatwa na polisi wa kitengo maalum cha ccm mjini Tunduma , viongozi wa Chadema kanda ya Nyasa wakishirikiana na Wakili Msomi Mwambukusi bado wanapambana kuhakikisha wanachama hao wanaachiwa .
Ikumbukwe kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 ccm iliambulia kipigo cha mbwa koko mjini Tunduma .
Mungu ibariki Chadema
Wanachama wengine zaidi ya kumi wa Chadema wamekamatwa na polisi wa kitengo maalum cha ccm mjini Tunduma , viongozi wa Chadema kanda ya Nyasa wakishirikiana na Wakili Msomi Mwambukusi bado wanapambana kuhakikisha wanachama hao wanaachiwa .
Ikumbukwe kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 ccm iliambulia kipigo cha mbwa koko mjini Tunduma .
Mungu ibariki Chadema