Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,624
- 218,054
vipi kuhusu ukweli wa taarifa yake ?Nadhani mleta post ndo mwanachadema mwenye povu kuliko wote kwa sasa
Jibu swali wacha kutokea dirishani
Jibu swali nduguMbunge Hana Immunity ya kutoshtakiwa akichoma Nyumba
Na wewe ndiye zwazwa wa ccm kuliko woteNadhani mleta post ndo mwanachadema mwenye povu kuliko wote kwa sasa
Hii Ni thread ya kuchangia swali linalohusiana Na mjadala huwezi kuja kukurupuka Na Maswali yako Kama kuna interviewJibu swali ndugu
Ukumbuke kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Haina uhusiano wowote !Na hakuna sehemu yoyote Mungu alimpa Mtu uwakala wa Kuwa Msemaji wake
Hivi askari wetu kule moshi huwa wanafaulu ile kozi au wanasukumwa tu, nina mashaka sana, mbona zamani askari walikuwa hawapo hivi, nina mashaka sana na kozi zao kule moshi kama kweli wanafaulu na kufata maadili ya kazi zao, au bora liende, nina mashaka sana tena sanaSiasa za kishamba za ccm kwa kushirikiana kikamilifu na JESHI LA POLISI zimeendelea kushika kasi mjini Tunduma , Na sasa wamemtengenezea kesi mbunge wa eneo hilo Mh Mwakajoka.
Wanachama wengine zaidi ya kumi wa Chadema wamekamatwa na polisi wa kitengo maalum cha ccm mjini Tunduma , viongozi wa Chadema kanda ya Nyasa wakishirikiana na Wakili Msomi Mwambukusi bado wanapambana kuhakikisha wanachama hao wanaachiwa .
Ikumbukwe kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 ccm iliambulia kipigo cha mbwa koko mjini Tunduma .
Mungu ibariki Chadema
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pambaCcm sasa rasmi imekuwa chama cha kigaidi, pumbafuu
polisi wa Tanzania jambo lao kubwa na la kwanza ni kuitumikia ccm kwa kukubali kutumikishwa hata na mjumbe wa nyumba 10Hivi askari wetu kule moshi huwa wanafaulu ile kozi au wanasukumwa tu, nina mashaka sana, mbona zamani askari walikuwa hawapo hivi, nina mashaka sana na kozi zao kule moshi kama kweli wanafaulu na kufata maadili ya kazi zao, au bora liende, nina mashaka sana tena sana
Kama wafanyabiashara walikimbilia Zambia kwa kuiogopa serikali ya ccm kuna cha kuhoji hapo?Unao uhakika?!
Mbona wanawake wetu wanalazimisha kupendwa kwa mikorogo wakati sisi tumewachoka.Ccm chama cha kijinga sana, wanalazimisha kupendwa wakti wananchi hatuwataki
Anaanzaje kwa mfano?Mbunge Hana Immunity ya kutoshtakiwa akichoma Nyumba