sanje
JF-Expert Member
- May 12, 2018
- 458
- 340
Uchaguzi ujao CCM Wana kazi kubwa ya kufanya maamuzi magumu wang'ang'anie madarakani nchi Ife Kama Zimbabwe au wakubali kushindwa chama kife Kama KANU au UNIP ya zambiaNi kweli, hiyo itafanyika kwa hujuma kwakuwa rais ana nongwa na chuki binafsi dhidi ya cdm, hivyo anaweza kutumia madaraka yake vibaya kunajisi box la kura, ila sio kwa ridhaa ya wananchi. Madai ya tume huru ya uchaguzi yasisite baada ya Katazo la mikusanyiko kutokana na Corona. Toka hapo tutaelewana tabia. Kulazimisha kukaa madarakani kutaigharimu ccm na nchi kwa ujumla. Muda utaamua.