SUA hawakuwa tayari kuanzisha kozi za Ualimu,ila kipindi cha JK walilazimisha kila chuo kiwe na kozi za Ualimu. Basi wakakubali kuanzisha ila kwa shingo upande.sokoine mdogo mdogo inaanza kupoteza uhalisia wake, koz walizozpachka sijui ualimu.baada ya kuondoka mwal nyerere watoto wamejisahau,Mambo mengi yamepinduliwa kabisa.
Mwenye akili finyu anaweza dhani SUA haina mchango wowote katika nchi hii, ila mwenye akili timamu ya kujiongeza anajua mchango mkubwa wa chuo cha Sokoine katika maendeleo ya nchi hii. Tatizo kubwa ni serikali kukwepa wajibu wake wa kuwasaidia wahitimu hasa kwa kuwasaidia mitaji,ardhi na masoko.Nchi zingine duniani kote hufanya hivyo. La sivyo tutaendelea kutoona tija ya wasomi wetu.Impact ya SUA kwa nchi hii ni sawa na bure kabisa.
Misemo inayofanya watu wakidharau kilimo.. Tuliosoma kitabu cha Mabala tunajua shuruba za Kilimo."kama huna kazi kalime." Kilimo siyo kazi nchi hii.