Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Mbunge wa Moshi vijijini amewaibia wananchi wa jimbo hilo takribani milioni (240),zikiwa ni fedha za maendeleo ya jimbo zinazotolewa na mfuko wa jimbo kila mwaka kwa miaka (8).
Aidha mbunge Cyril Chami amesitisha kuwatembelea wananchi wake huku akipokea fedha za kuwatembelea wananchi wa jimbo hilo ambazo ni takribani milioni (2,880,000)
Inasikitisha ubadhirifu wa fedha za umma kumilikishwa mtu mmoja kama mfalme hali inayochangia maendeleo kuwa hafifu,
Ni matumaini yangu Mbunge chami atatoa maelezo fedha za walipa kodi zimekwenda wapi??
Ni wakati umefika wananchi tuache kuambiwa tu bali tufanye uchunguzi wa fedha zetu.
Wananchi wengi wa eneo hili ni watu/raia wema wenye mitizamo ya kutarajia maendeleo.
Licha ya wananchi wa jimbo hili kuwa 99% ni wakulima,kilimo hiki hakiwalipi ujira.
Hii ndio sababu watu wenye mashamba ya kahawa wameyasahau kwa sababu,
Kahawa imekua ni soko la kisiasa, Mbunge Cyrili alipopata ridhaa ya wananchi aliahidi mengi kuyatekeleza ikiwa ni pamoja na kumaliza tatizo la maji baadhi ya maeneo ya jimbo hili,
Cha kushangaza huu mwaka wa 8 hakuna chochote kilichpfanyika zaidi ya kituo cha polisi ambacho wananchi walijichanga ili kufanikisha, Hiki kituo cha polisi kiko kata ya okaoni,kituo ambacho kinadaiwa kutumia takribani milioni (500) za kitanzani,
Na kuna deni ambalo wananchi watahitajika kulipa.
Aidha mbunge Cyril Chami amesitisha kuwatembelea wananchi wake huku akipokea fedha za kuwatembelea wananchi wa jimbo hilo ambazo ni takribani milioni (2,880,000)
Inasikitisha ubadhirifu wa fedha za umma kumilikishwa mtu mmoja kama mfalme hali inayochangia maendeleo kuwa hafifu,
Ni matumaini yangu Mbunge chami atatoa maelezo fedha za walipa kodi zimekwenda wapi??
Ni wakati umefika wananchi tuache kuambiwa tu bali tufanye uchunguzi wa fedha zetu.
Wananchi wengi wa eneo hili ni watu/raia wema wenye mitizamo ya kutarajia maendeleo.
Licha ya wananchi wa jimbo hili kuwa 99% ni wakulima,kilimo hiki hakiwalipi ujira.
Hii ndio sababu watu wenye mashamba ya kahawa wameyasahau kwa sababu,
Kahawa imekua ni soko la kisiasa, Mbunge Cyrili alipopata ridhaa ya wananchi aliahidi mengi kuyatekeleza ikiwa ni pamoja na kumaliza tatizo la maji baadhi ya maeneo ya jimbo hili,
Cha kushangaza huu mwaka wa 8 hakuna chochote kilichpfanyika zaidi ya kituo cha polisi ambacho wananchi walijichanga ili kufanikisha, Hiki kituo cha polisi kiko kata ya okaoni,kituo ambacho kinadaiwa kutumia takribani milioni (500) za kitanzani,
Na kuna deni ambalo wananchi watahitajika kulipa.