Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,288
- 2,438
Mbunge haweki kwenye account yake pesa za mfuko wa bunge yeye ni mratibu na muidhinishaji kwa miradi inayoombwa tu. Mfuko wa Bunge ni vote inayohifadhiwa na wakurugenzi wa miji, kwa hiyo kama kuna wizi hiyo ni njama za watu wengi.