Mbunge wa Moshi vijijini aibia Wananchi Milioni (240)

Mbunge wa Moshi vijijini aibia Wananchi Milioni (240)

Ukiacha hoja ya msingi pembeni, naomba nisahihishe udhaifu mkubwa wa kuandika kuhusu fedha hapa JF. Shilingi 2,880,000 na shilingi milioni 2,880,000 ni vitu viwili tofauti.

Tujitahidi tuongeze umakini.

Hebu tupe tofauti yake mkuu,maana na wewe umeandika kama yeye alivyoandika.
 
Mkiniondoa kwenye uwaziri jimbo langu litakwenda CDM (Cyril Chami 2012)

Hata hivyo jimbo limeshaenda upinzani kwani wananchi wana hamu ya maendeleo hususani barabara,Hospitali,Elimu chami kashindwa kufanya hata negotiation na mashirika ya mikopo ili wawekeze ktk jimbo hili.
 
Msemakweli na St.Apolinary,

Huyu bwana hakuandka milioni mia mbili na themanini na nane au milioni mbili. Kaandika kitu kingine kabisa, na cha ajabu hapa JF hakuna anayeona hilo tatizo.

Najua alitaka kuandika milioni mbili, laki nane na themanini elfu.
 
Sio sawa. Kwa mfano, shilingi elfu 1,000 ni shilingi elfu elfu moja, yaani milioni moja. Ukitaka kuandika shilingi elfu moja unaandka aidha sh.1,000 au shilingi elfu 1.
Tusaidie elimu na wengine hapo pekundu. Can elfu moja and milioni moja be the same thing?
 
Msemakweli na St.Apolinary,

Huyu bwana hakuandka milioni mia mbili na themanini na nane au milioni mbili. Kaandika kitu kingine kabisa, na cha ajabu hapa JF hakuna anayeona hilo tatizo.

Najua alitaka kuandika milioni mbili, laki nane na themanini elfu.


Hapana mkuu.
maelezo yangu yako hivi ni milioni (240) zikiwa ni za maendeleo ya jimbo.
na milioni 28,880,000
 
Anatoka ukoo wa kambare baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi, bibi mwizi, mjomba mwizi, shangazi mwizi, binamu mwizi
 
Hapana mkuu.
maelezo yangu yako hivi ni milioni (240) zikiwa ni za maendeleo ya jimbo.
na milioni 28,880,000

Mtakatifu Apolinary, hesabu gongana kweli kweli.

Millioni 28,000,000 ni hela nyingi sana kiongozi. Na shida tatizo ni kwamba unachanga tarakimu na maandishi. Tuingie shule kidogo.

Unaweza kuandika

1. Milioni 1 au 1,000,000
2. Milioni 2 au 2,000,000
3. Milioni 10, au 10,000,000
4. Milioni 28 au 28,000,000

Wewe umeandika Milioni 28,880,000. Kwa sababu umetanguliza neno 'Milioni' basi nikiweka kwenye number ulichoandika nitaongeza sifuri 6. Kwa maana hiyo, Milioni 28,880,000 inakuwa 28,880,000,000,000

Ulimaanisha kiasi gani?
 
Mtakatifu Apolinary, hesabu gongana kweli kweli.

Millioni 28,000,000 ni hela nyingi sana kiongozi. Na shida tatizo ni kwamba unachanga tarakimu na maandishi. Tuingie shule kidogo.

Unaweza kuandika

1. Milioni 1 au 1,000,000
2. Milioni 2 au 2,000,000
3. Milioni 10, au 10,000,000
4. Milioni 28 au 28,000,000

Wewe umeandika Milioni 28,880,000. Kwa sababu umetanguliza neno 'Milioni' basi nikiweka kwenye number ulichoandika nitaongeza sifuri 6. Kwa maana hiyo, Milioni 28,880,000 inakuwa 28,880,000,000,000

Ulimaanisha kiasi gani?


yaani ni hivi 450,000*10=4,500,000*8=36,000,000 milioni thelathini na sita ya kufanya ziara ktk jimbo lake kwa miaka 8
 
hivi yupo Tanzania hii??
Inashangaza wanainchi wanampa mtu ridhaa ya kuwatetea, matokeo yake anahamia dar na ulaya , huku wananchi wakitaabika na shida;Historia ya jimbo hili ni ndefu,wakaazi wa jimbo hili pia sio wavivu kitu ambacho wangepata kiongozi anayefuatilia changamoto zilizopo,Hakika eneo hili lingekua na sifa ya pekee ktk Tanzania
 
Mbunge wa Moshi vijijini amewaibia wananchi wa jimbo hilo takribani milioni (240),zikiwa ni fedha za maendeleo ya jimbo zinazotolewa na mfuko wa jimbo kila mwaka kwa miaka (8).

Aidha mbunge Cyril Chami amesitisha kuwatembelea wananchi wake huku akipokea fedha za kuwatembelea wananchi wa jimbo hilo ambazo ni takribani milioni (2,880,000)

Inasikitisha ubadhirifu wa fedha za umma kumilikishwa mtu mmoja kama mfalme hali inayochangia maendeleo kuwa hafifu,

Ni matumaini yangu Mbunge chami atatoa maelezo fedha za walipa kodi zimekwenda wapi??

Ni wakati umefika wananchi tuache kuambiwa tu bali tufanye uchunguzi wa fedha zetu.
@cc
Cjaona kitu kipya hapa.Au mt.Apolinary umesahau yeye Chami ni wa ukoo ule adui wa paka!Baba mwizi,mama mwizi,kaka mwi..
 
Unadhani ni nini kifanyike ili fedha za umma zirudi

uchungunguzi ufanyike kwanza ikibainika kiasi alichochukua basi pamoja na kufikishwa mahakani mali zake zichukuliwe kufidia hilo deni.
na hizi hela za mfuko wa jimbo mbunge asiwe na mamlaka nazo bila kuwashirikisha wananchi na madiwani wa jimbo husika na kabla hazijatolewa fedha nyingine ufanyike ukaguzi wa miradi ya hela ambazo zimekwishatolewa
 
Hivi huyu Cyril Chami tangu atoswe uwaziri yuko wapi? Ni kimya sana hadi inatisha!!! Hivi alishapona???? Ila hakika mlimtosa na kwa misingi hii lazima atafanya juhudi zote CDM ichukue Moshi (V). After all anajua kisiasa ameshakuwa mufilisi kwa hiiyo hela za jimbo ni za kujenga familia. Ikifika 2015 ataachia ubunge na ataingia katika research or academics!!! Hiyo ndiyo inaitwa siasa safi na uongozi bora!!!
 
Hivi huyu Cyril Chami tangu atoswe uwaziri yuko wapi? Ni kimya sana hadi inatisha!!! Hivi alishapona???? Ila hakika mlimtosa na kwa misingi hii lazima atafanya juhudi zote CDM ichukue Moshi (V). After all anajua kisiasa ameshakuwa mufilisi kwa hiiyo hela za jimbo ni za kujenga familia. Ikifika 2015 ataachia ubunge na ataingia katika research or academics!!! Hiyo ndiyo inaitwa siasa safi na uongozi bora!!!

Wanainchi wa moshi vijijini walifanya makosa kumpa ridhaa huyu chami,Ktk kipindi cha mwaka 2005 mpaka 2008 Alikuwa waziri wa viwanda lakini hakuweza kulitangaza jimbo hili lililosahaulika na wawekezaji; hakuweza hata kuhamasisha zao la kahawa,na ndizi ambazo ni zao kuu katika rasi ya jimbo hili.
 
Hebu tupe tofauti yake mkuu,maana na wewe umeandika kama yeye alivyoandika.

Kinachomaanishwa hapa ni matamshi ambayo mwandishi kayafanya maandishi, bado amerekebishwa akarudia tena kukosea.

Kweli huwezi kuandika shilingi 2,880,000/= ikawa sawa na

shilingi milioni 2,880,000/= au eti

milioni 200,000,000/= ikawa sawa na kuandika Milioni 2.
 
Hata hivyo jimbo limeshaenda upinzani kwani wananchi wana hamu ya maendeleo hususani barabara,Hospitali,Elimu chami kashindwa kufanya hata negotiation na mashirika ya mikopo ili wawekeze ktk jimbo hili.
Hata bila uchaguzi?
 
Back
Top Bottom