Mbunge wa Mbeya mjini na wenzako amkeni usingizini

Mbunge wa Mbeya mjini na wenzako amkeni usingizini

Mi nadahani ni busara kuwashauri wananchi wa jimbo husika kumhoji mbunge wao juu ya vipaumbele alivyotoa ktk kampeni na ilani ya chama kwamba ametekeleza kiasi gani na ambavyo bado kuna mkakati gani wa kuvitekeleza. Wewe mleta mada pia ni kazi yako kushughulika na mbunge wako, unless kama Sugu ni mbunge wako basi una haki ya kumtolea mada. Otherwise kuna mantiki gani mtu kuanzisha thread juu ya mbunge asiye wa jimbo lako? Kila jimbo watu wana vigezo vyao vya kumchugua mtu kwa wakati husika!
 
Ulicho andika umeagizwa ama unataka kumfurahisha fulani, umeandika bila kujiamini. Mara unampa ushauri mbunge wako sugu huku tena ukisema tuangalie mbunge mwingine. Angalia njaa itakuua

Tumeshampa sana ushauri wa nini akifanye ili kumjenga kisiasa and at the same time kuacha alama kwenye eneo binge lake but Amekua na kichwa kigumu,nadhani na elimu yake pia ni kikwazo,sina njaa asubuhi nimepiga bakuli zangu tatu za uji wa mtama,niko fiti,nasubiri ugali wa mhogo mchana!
 
ushauri huu unawafaa akina kitumbo mwimbaji wenu kule nyasa na mama kiroboto kule njombe kuliko kuupeleka kwa Sugu,jembe la mbeya.
 
Ebu soma kwa makini halafu chagua upo kundi lipi Nijuavyo mimi wanadamu huwa katika makundi
mawili mintaarafu urazini na utashi wetu,kuna
MWEREVU,MJINGA na MPUMBAVU nitaeleza
sifa za watu hawa.
MWEREVU, huyu ni yule anayejua na anajua
kuwa anajua huyu huwa mwalimu wa wengi
akitumia hekima (hekima ni uwezo wa
kutafakari jema na baya ili kuchukua hatua
stahiki) na busara (busara ni uwezo wa
kutenda lililojema kutokana na tafakuri sahihi)
huwaelimisha wenzake na hasa ndio huwa
washauri wa viongozi wetu katika kufanya
maamuzi mbalimbali. Hapa taifa huingia kwenye
matatizo makubwa iwapo viongozi wa juu
watakosa watu hawa wa kuwashauri.
MJINGA, huyu ni yule ambaye hajui na anajua
kuwa hajui,mtu huyu huwa tayari kujuzwa na
wanaojua na huwa mpole na mnyenyekevu ili
apate kujua, huwa hajifanyi mjuaji kwa sababu
hakika hajui na analitambua hilo.Kwa tabia mtu
huyu huwa habishani bali hubisha ili kuchochea
utolewaji wa maarifa na yeye hufaidi kutokana
na maarifa hayo. Watu wa jinsi hii ndio wale
ambao huonekana hatari kwa werevu kwa
sababu wakijua huwa werevu ambao
hujitambua.
MPUMBAVU, ni yule ambaye hajui na hajui
kuwa hajui basi huyu atakuwa aking'ang'ania tu
kile anachofikiri kuwa ndicho kumbe sicho na
hata akifahamishwa basi huwa mkali ili kulinda
kile anachoamini kuwa ni sahihi hata kama sio
sahihi. Mtu huyu huhitaji nguvu kubwa na muda
mwingi kumfanya ajue kwa sababu huwa
mjuaji,na hupenda sana kubishana badala ya
kubisha lengo likiwa ni kutetea kile
anachokiamini hata kama sicho.

Bado hujamsaidia mh.sugu,lakini pia sidhani unazo sifa za kuwemo kwenye iko kitengo chenu cha kupambana mitandaoni,nadhani umepachikwa hapo kutokana na kuingiliana na mkubwa fulani makao makuu kiujamaa ama kindugu
 
Tumeshampa sana ushauri wa nini akifanye ili kumjenga kisiasa and at the same time kuacha alama kwenye eneo binge lake but Amekua na kichwa kigumu,nadhani na elimu yake pia ni kikwazo,sina njaa asubuhi nimepiga bakuli zangu tatu za uji wa mtama,niko fiti,nasubiri ugali wa mhogo mchana!

Nadhani huwa mnakurupuka tu bila kusoma post sawasawa,ndio mana mmekua na tatizo la kumiss points muhimu,huko kote ulikokutaja kuna hiyo barabara niliyoitaja?
 
Ebu soma kwa makini halafu chagua upo kundi lipi Nijuavyo mimi wanadamu huwa katika makundi
mawili mintaarafu urazini na utashi wetu,kuna
MWEREVU,MJINGA na MPUMBAVU nitaeleza
sifa za watu hawa.
MWEREVU, huyu ni yule anayejua na anajua
kuwa anajua huyu huwa mwalimu wa wengi
akitumia hekima (hekima ni uwezo wa
kutafakari jema na baya ili kuchukua hatua
stahiki) na busara (busara ni uwezo wa
kutenda lililojema kutokana na tafakuri sahihi)
huwaelimisha wenzake na hasa ndio huwa
washauri wa viongozi wetu katika kufanya
maamuzi mbalimbali. Hapa taifa huingia kwenye
matatizo makubwa iwapo viongozi wa juu
watakosa watu hawa wa kuwashauri.
MJINGA, huyu ni yule ambaye hajui na anajua
kuwa hajui,mtu huyu huwa tayari kujuzwa na
wanaojua na huwa mpole na mnyenyekevu ili
apate kujua, huwa hajifanyi mjuaji kwa sababu
hakika hajui na analitambua hilo.Kwa tabia mtu
huyu huwa habishani bali hubisha ili kuchochea
utolewaji wa maarifa na yeye hufaidi kutokana
na maarifa hayo. Watu wa jinsi hii ndio wale
ambao huonekana hatari kwa werevu kwa
sababu wakijua huwa werevu ambao
hujitambua.
MPUMBAVU, ni yule ambaye hajui na hajui
kuwa hajui basi huyu atakuwa aking'ang'ania tu
kile anachofikiri kuwa ndicho kumbe sicho na
hata akifahamishwa basi huwa mkali ili kulinda
kile anachoamini kuwa ni sahihi hata kama sio
sahihi. Mtu huyu huhitaji nguvu kubwa na muda
mwingi kumfanya ajue kwa sababu huwa
mjuaji,na hupenda sana kubishana badala ya
kubisha lengo likiwa ni kutetea kile
anachokiamini hata kama sicho.

...ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi wako mzuri...kula "LIKE"...
 
Upo kundi gani ujasema kati ya hayo niliyoyataja! Funguka sasa
Bado hujamsaidia mh.sugu,lakini pia sidhani unazo sifa za kuwemo kwenye iko kitengo chenu cha kupambana mitandaoni,nadhani umepachikwa hapo kutokana na kuingiliana na mkubwa fulani makao makuu kiujamaa ama kindugu
 
Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!
Sijaelewa hapo (waweza nielewesha zaidi),1.kwamba Sugu alichaguliwa kwa ushabiki wa kisiasa? kama angechaguliwa Mpesya ingekuwa uchaguzi wa kiutendaji sio?
2.Wanamuziki/wasanii hawafai kuchaguliwa kwa sababu ya sauti zao au unamaanisha ili uchaguliwe lazima uwe na sauti kama ya IYENA IYENA?
Post yako ni nzuri kama usingeingiza mambo binafsi,ukirudi kwenye historia za wawakilishi wetu mmoja mmoja hatutawatendea haki,uliza historia ya AESHI,RAGE,NGONYANI,SHABIB,KOMBANI,ZUNGU,KAFUMU,SANGA,JITUSON,MATAYO na wengine wengi,utaona hakuna anayefaa hata kukanyaga zulia.
Lakini kwenye uchaguzi kuna misukumo ya kiushabiki kwa mfano vijana wanaweza kupenda kijana mwenzao,wafanyabiashara wakamkapenia mfanyabiashara mwenzao,CDM na mwanachama wao CCM na mwanachama wao na hata katiba ingeruhusu watoto pia wangemchagua mtoto mwenzao,kwa mujibu wa katiba tuliyotumia kumchagua Sugu inatamka kila mgombea lazima awakilishwe na chama cha kisiasa sio NGO,kwa hiyo kwako ingekuwa bora uhoji maendeleo ya ujumla kama jimbo sio kwa kumshambulia mtu moja kwa moja (unamjua JUMA NKAMIA?)
 
''Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.''

HII SENTENSI IMENICHEKESHA SANA........NAKUTAKIA KAZI NJEMA BILA SHAKA HAUTADAI POSHO KWA KAZI HII
 
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.



Naona unampa Mbunge kazi za Manispaa na kazi za Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na za wizara ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi.


Soko ni kazi ya Manispaa, Barabara ni kazi ya TANROADS, Misitu ni kazi ya Maliasili na Utalii na Urban issues ni kazi ya Wizara ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Manispaa ina pesa na Wizara zina Bajeti ya kutekeleza yote hayo. Imefika wakati sasa sio tunakurupuka tu kupost vitu visivyo na maana. Nakushangaa unapoita elimu ya form four ni ndogo, elimu kubwa ni ipi?! Kwani majimbo yenye hao ambao akili yako inawaona kuwa wana elimu kubwa wamefaidika na nini?!
 
Posho unatumiwa kwa mpesa au lumumba ina tawi hapo Mbeya?
 
ukisema hivyo hata mashabiki wa jk watakua na yao ya kukwambia aliyoyafanya,lakini je priorities je zimekaa sawa?hebu nitajie kitu kimoja tu ambacho sugu anaweza kujivunia for 3 years,kimoja tu please
Wewe mtu au Robot? Jinsi yako ni Female or Male? Niambie hawa wamefanya nini- Rage, Sumar, Majimarefu, Futakamba, Sitta, Lusinde, Pinda, niishie hapo ingawa hata hao niliowaorodhesha sijui kama utaweza.
 
Namjua kwa machachari yake kwenye bongo fleva,lakini kuna hayo mambo niliyoyaeleza hapo juu kwenye bandiko langu ndio sijamjua sawasawa upande huo
na huwezi kumjua sababu hakuhusu!!!
 
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.

Mkuu Sugu hawezi kuamka wala kuzinduka maana nafikiri hajui nini kilimpeleka bungeni.
Yeye anafikiri amepelkwa pale kukitetea chama chake cha CHADEMA badala ya wananchi wa sehemu anayotoka, Mbeya Mjini.
Sijawahi kusikia akitetea kuondoa kero ya yale uliyoyaandika, yaani barabara ya TANZAM kuondolewa, soko la Matola na hata umaliziaji wa soko la Mwanjelwa.

Mtu huyu asivyo na fadhila kwa watu waliomchgua anaona vyema kupigwa mabomu huko Arusha.
I am on record nikisema ni vyema angefia huko, kusingekuwapo na loss yoyote kwa wanaMbeya.

Sasa muda umekwisha, muda wa mistari ya miyeyusho na usanii umekwisha.
Barabara ya kwenda Chunya wala haijaanza licha ya miaka yote ya mtu kukalia kiti.

Mwenzake , Mbowe mjanja sana.
Kamualika hata Rais Kikwete ili barabara moja ya huko Hai ijengwe, na ni barabara ya kijijini kwao Mbowe.
Mbowe anajua fika kuwa fungu la maendeleo liko mikononi mwa rais, akaliomba na akapewa.

Mtu asiye na akili sana anjitengenezea mazingira ya hata kutokuongea na watwala waliopo madarakani, ili kurahisiha uwakilishaji wa matatizo ya wananchi.

Sheo ambacho Sugu angepaswa kugombea kwa sasa ni Uktibu Mkuu wa CHADEMA, akiwa huko kero za wana Mbeya zitakuwa zimepungua.
 
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.
Nenda kagombee wewe uone mziki wake usifikiri ni rahisi kama kukaa nyuma ya keyboard
 
Madam, it's your time now to make yourself known to the people of Mbeya and strongly try to publicize yourself that you're more educated than MP Joseph Mbilinyi and you do so in the hope of standing for the next election of members of parliament competing with Sugu! But watch out if you're not the choice of the people,don't dare to do so!

Who should take into account planning matters of an area or a developing area? An MP or the government which is the provider and governor of all major plans and projects of the state? Twenty years ago the Tanzania-Zambia high way from Uyole to Mbalizi had no traffic jams as it's currently and the same applies to Mwanjelwa to soko Matola via Sinde or Mabatini! Presently the high way is seen just like a street consequently to a rapid growth in population. More people more working tools e.g cars,motorcycles and more economic activities.

So these problems have not just started during Sugus' era, they've been there since then and probably won't end today or tomorrow! Why there were deforestation at Forest area the whole way from Uhasibu upward to Nero and downward to Simike to mention a few? What happened to mount Mbeya or Loreza and Kawetele the former freezers of Mbeya City? Who deforested these places?

With your education don't blame and rely on Sugu to tackle what you have mentioned. What do you expect to come out of a self focused or a one sided government in essence of opposition political parties? Think big before you criticize an innocent man for what he doesn't deserve to be criticized for the sake of politics!
 
Mkuu Sugu hawezi kuamka wala kuzinduka maana nafikiri hajui nini kilimpeleka bungeni.
Yeye anafikiri amepelkwa pale kukitetea chama chake cha CHADEMA badala ya wananchi wa sehemu anayotoka, Mbeya Mjini.
Sijawahi kusikia akitetea kuondoa kero ya yale uliyoyaandika, yaani barabara ya TANZAM kuondolewa, soko la Matola na hata umaliziaji wa soko la Mwanjelwa.

Mtu huyu asivyo na fadhila kwa watu waliomchgua anaona vyema kupigwa mabomu huko Arusha.
I am on record nikisema ni vyema angefia huko, kusingekuwapo na loss yoyote kwa wanaMbeya.

Sasa muda umekwisha, muda wa mistari ya miyeyusho na usanii umekwisha.
Barabara ya kwenda Chunya wala haijaanza licha ya miaka yote ya mtu kukalia kiti.

Mwenzake , Mbowe mjanja sana.
Kamualika hata Rais Kikwete ili barabara moja ya huko Hai ijengwe, na ni barabara ya kijijini kwao Mbowe.
Mbowe anajua fika kuwa fungu la maendeleo liko mikononi mwa rais, akaliomba na akapewa.

Mtu asiye na akili sana anjitengenezea mazingira ya hata kutokuongea na watwala waliopo madarakani, ili kurahisiha uwakilishaji wa matatizo ya wananchi.

Sheo ambacho Sugu angepaswa kugombea kwa sasa ni Uktibu Mkuu wa CHADEMA, akiwa huko kero za wana Mbeya zitakuwa zimepungua.
Sasa tumeshajua, hii yote imekuja baada ya mh. Sugu kusema upumbavu wa pm. Yote kwa yote, wanambeya wanamjua mbunge wao!
 
Unafki ni tatizo kubwa sana kwa watu fulani, kwanini umefikiri Sugu na hujahoji wabunge kama Anna Makinda, Samuel Sitta, na wengine weengi ambao wako majimboni kariba ya miaka 15,hutaki kujua hali za majimbo yao yako vp! Unakukuruka na mbunge ambaye ana miaka 3 tu mjengoni! Hapo ndio watu wanakuita MNAFIKI, au na wewe nikama mademu wa marubani wanaowasubiri mabwana zao kwa shauku kubwa washuke chini!!
 
Tumeshampa sana ushauri wa nini akifanye ili kumjenga kisiasa and at the same time kuacha alama kwenye eneo binge lake but Amekua na kichwa kigumu,nadhani na elimu yake pia ni kikwazo,sina njaa asubuhi nimepiga bakuli zangu tatu za uji wa mtama,niko fiti,nasubiri ugali wa mhogo mchana!

Kuna wabunge wengi sana wenye kiwango cha elimu unachokitaka wewe , lakini hawajafanya lolote la kulipigia mfano ! Unapotoa ushauri ni bora sana kama Dharau za Kielimu ukiziweka kando , maana zitawafanya wadau waupuuze ushauri wako hata kama una maana .
 
Sasa tumeshajua, hii yote imekuja baada ya mh. Sugu kusema upumbavu wa pm. Yote kwa yote, wanambeya wanamjua mbunge wao!
Huyo Sugu ni mtupu kwa fadhila na vile vile mtupu kichwani.
Aulize watu wastaarabu zaidi kama kiongozi wake Mbowe amekwishawahi kuwatusi walio katika mamlaka.
 
Back
Top Bottom