Mbunge wa Mbeya mjini na wenzako amkeni usingizini

Mbunge wa Mbeya mjini na wenzako amkeni usingizini

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,149
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.
 
tuache itikadi za vyama,tuwapime wabunge wetu kwa kutazama nini wamefanya kwenye maeneo bunge yao
 
wana mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu soko matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!! Mheshimiwa sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,soko matola is just one example but mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is tanzam highway portion from uyole to iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.nenda bar ukanywe,hujui sugu ni nana.nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.
nenda bar kanywe kumekucha,inaelekea sugu humjui
 
nenda bar kanywe kumekucha,inaelekea sugu humjui

Namjua kwa machachari yake kwenye bongo fleva,lakini kuna hayo mambo niliyoyaeleza hapo juu kwenye bandiko langu ndio sijamjua sawasawa upande huo
 
Grosery za mtaan kwetu zinajua nn wanywaj tunataka,Wanafunga saa 9uck na ukienda 12asubuhi ya siku inayofuata wanafungua bila shida kabisa na wanakukarimu mpaka mwenyewe unafurahi!!Amia huku kwetu uwe unapiga km kadhaa then unaenda anzisha thread!
 
Msalimie Kanye West,na uamke usingizi wa ccm bila hivyo tutakuamsha na maji ya baridi
 
ungeuliza kwanza kaz zipi zimefanywa miaka miaka 3 mnataka tuwe kama ulaya wao miaka 50 wamefanya nn...naona sugu anawasumbua sana!
 
Grosery za mtaan kwetu zinajua nn wanywaj tunataka,Wanafunga saa 9uck na ukienda 12asubuhi ya siku inayofuata wanafungua bila shida kabisa na wanakukarimu mpaka mwenyewe unafurahi!!Amia huku kwetu uwe unapiga km kadhaa then unaenda anzisha thread!
watu wa arusha utawajua kwa viswahili vyao!haya nimeusoma utumbo wako,rudi kwenye mada sasa
 
ungeuliza kwanza kaz zipi zimefanywa miaka miaka 3 mnataka tuwe kama ulaya wao miaka 50 wamefanya nn...naona sugu anawasumbua sana!
ukisema hivyo hata mashabiki wa jk watakua na yao ya kukwambia aliyoyafanya,lakini je priorities je zimekaa sawa?hebu nitajie kitu kimoja tu ambacho sugu anaweza kujivunia for 3 years,kimoja tu please
 
Msalimie Kanye West,na uamke usingizi wa ccm bila hivyo tutakuamsha na maji ya baridi

Hey hey hey folks No party was mentioned in my post. So please don't drag this discussion towards that direction oowwkey?I spoke of him as a candidate and not a party he comes from. And this is where you are missing a point. I haven't discussed anything about any party here. Being an effective MP argely depends also on personal strategies and not merely the ticket you are sailing with,don't miss a point tafadhali.
 
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.
Hakuna kitu sipendi kama unafki,kwanza kawaulize wana mbeya kama mbunge wao hajafanya kitu,nimeshamshuhudia mara nyingi kwenye ujenzi wa mahospitali,barabara na mambo mengi ya kijamii,pili kwa nini huwaga hamleti uzi wa kuhoji ccm wabunge wao wamefanya nini mnaonaga chadema tu,acheni unafki...
 
ukisema hivyo hata mashabiki wa jk watakua na yao ya kukwambia aliyoyafanya,lakini je priorities je zimekaa sawa?hebu nitajie kitu kimoja tu ambacho sugu anaweza kujivunia for 3 years,kimoja tu please
Wewe mtu au Robot? Jinsi yako ni Female or Male? Niambie hawa wamefanya nini- Rage, Sumar, Majimarefu, Futakamba, Sitta, Lusinde, Pinda, niishie hapo ingawa hata hao niliowaorodhesha sijui kama utaweza.
 
aiseeeeee babayangu c c m tumeipa kura miaka 50 sasa hakuna ilichokifanya zaidi ya kungowa watu kucha meno na kuteka mi naona tuwape kura zaidi wapinzani
 
Hey hey hey folks No party was mentioned in my post. So please don't drag this discussion towards that direction oowwkey?I spoke of him as a candidate and not a party he comes from. And this is where you are missing a point. I haven't discussed anything about any party here. Being an effective MP argely depends also on personal strategies and not merely the ticket you are sailing with,don't miss a point tafadhali.


Hii ni lugha ya potential PRIVATE CANDIDATE wa Mbeya mjini ambaye nadhani anasukumwa na maendeleo ya mji wake na sio bendera wala mashairi ya wabunge!!! The guy wants results and not rhetoric, tafadhalini mumuelewe. Discuss issues and not persnalities and that is what great minds are made of!!!Msijifanye na nyinyi kuwa mburula, you should be different from magamba. Kim Kardashian/Kanye West hongera kwa kujifungua mtoto wa kike!
 
Tusaidiane,siwezi kuwavaa wooooote kwa siku moja,nimechagua kuanza na huyu cuz anazo changamoto zilizo wazi kama nilivyoziorozesha kwenye post yangu,isome tena,utanielewa,otherwise as I said nimeanza na huyu then ntakwenda kwa uliowataja na uliokwepa kuwataja akiwemo mh.mbowe,lowassa,huyo lema wa hapo kwenu,Zitto na wengine
 
Wana Mbeya mjini mara ijayo mchague mbunge ambaye atatumia muda mwingi kutatua matatizo mengi yanayowazunguka kama vile suala la kuondoa watu Soko Matola nk. Muda umefika sasa wa kuacha ushabiki wa siasa na kuangalia nani atawafaa.Msichague kwa kufuata sauti nzuri au mashairi yenye vina!!! Hayo yasikilizwe redioni!!!

Mheshimiwa Sugu una mambo mengi sana ya kushughulika nayo ambayo yangekutoa mno kisiasa bila kujali elimu yako ndogo ya kidato cha nne,Soko Matola is just one example but Mbeya urban in general needs an intervention in urban planning matters. Have u ever asked yourself this question: Is Tanzam Highway portion from Uyole to Iyunga a highway or just an ordinary street?? What about taking active role in afforestation programs that we saw in the past?? Do people ask themselves why has Mbeya micro climates changed? What role you and our waheshimiwa wengine wa mbeya playing in taming the changes?

Bonge la changamoto kwako sugu na wenzako nimewapa,kazi kwenu muda bado mnao.

Nawasilisha,now kazi yangu itakua kukagua kazi za wabunge wetu majimboni ili ukifika wakati tuwapime kwa alama walizoacha majimboni na sio kwa kupambana na kiti dhaifu cha spika na wasaidizi wake tu.

Ebu soma kwa makini halafu chagua upo kundi lipi Nijuavyo mimi wanadamu huwa katika makundi
mawili mintaarafu urazini na utashi wetu,kuna
MWEREVU,MJINGA na MPUMBAVU nitaeleza
sifa za watu hawa.
MWEREVU, huyu ni yule anayejua na anajua
kuwa anajua huyu huwa mwalimu wa wengi
akitumia hekima (hekima ni uwezo wa
kutafakari jema na baya ili kuchukua hatua
stahiki) na busara (busara ni uwezo wa
kutenda lililojema kutokana na tafakuri sahihi)
huwaelimisha wenzake na hasa ndio huwa
washauri wa viongozi wetu katika kufanya
maamuzi mbalimbali. Hapa taifa huingia kwenye
matatizo makubwa iwapo viongozi wa juu
watakosa watu hawa wa kuwashauri.
MJINGA, huyu ni yule ambaye hajui na anajua
kuwa hajui,mtu huyu huwa tayari kujuzwa na
wanaojua na huwa mpole na mnyenyekevu ili
apate kujua, huwa hajifanyi mjuaji kwa sababu
hakika hajui na analitambua hilo.Kwa tabia mtu
huyu huwa habishani bali hubisha ili kuchochea
utolewaji wa maarifa na yeye hufaidi kutokana
na maarifa hayo. Watu wa jinsi hii ndio wale
ambao huonekana hatari kwa werevu kwa
sababu wakijua huwa werevu ambao
hujitambua.
MPUMBAVU, ni yule ambaye hajui na hajui
kuwa hajui basi huyu atakuwa aking'ang'ania tu
kile anachofikiri kuwa ndicho kumbe sicho na
hata akifahamishwa basi huwa mkali ili kulinda
kile anachoamini kuwa ni sahihi hata kama sio
sahihi. Mtu huyu huhitaji nguvu kubwa na muda
mwingi kumfanya ajue kwa sababu huwa
mjuaji,na hupenda sana kubishana badala ya
kubisha lengo likiwa ni kutetea kile
anachokiamini hata kama sicho.
 
Ulicho andika umeagizwa ama unataka kumfurahisha fulani, umeandika bila kujiamini. Mara unampa ushauri mbunge wako sugu huku tena ukisema tuangalie mbunge mwingine. Angalia njaa itakuua
 
Thank you,nilijua wapo wachache ni great thinker wa ukweli wataelewa,but missing a point kwa vilaza is always an easy thing,tuwaache.
 
Hii ni lugha ya potential PRIVATE CANDIDATE wa Mbeya mjini ambaye nadhani anasukumwa na maendeleo ya mji wake na sio bendera wala mashairi ya wabunge!!! The guy wants results and not rhetoric, tafadhalini mumuelewe. Discuss issues and not persnalities and that is what great minds are made of!!!Msijifanye na nyinyi kuwa mburula, you should be different from magamba. Kim Kardashian/Kanye West hongera kwa kujifungua mtoto wa kike!

Thank you
 
Back
Top Bottom