Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu ashinda kura za maoni kugombea Uspika kupitia CCM

Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu ashinda kura za maoni kugombea Uspika kupitia CCM

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
1762699820724.png

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kwa kishindo kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiti CCM katika Uchaguzi uliomalizika hivi punde huko Dodoma.

Taarifa zinasema Zungu amepata Kura 348 akimshinda mpinzani wake Stephen Masele aliyepata kura 16.

Source: Maulid Kitenge
 

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kwa kishindo kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi uliomalizika hivi punde huko Dodoma.

Taarifa zinasema Zungu amepata Kura 348 akimshinda mpinzani wake Stephen Masele aliyepata kura 16.
Sijaelewa hapo. Kachaguliwa kuwa Spika, au mgombea wa hiyo nafasi? Kama ni Spika, ina maana inaruhusiwa chama kimoja kuweka muwania nafasi hiyo mtu zaidi ya mmoja?
 

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kwa kishindo kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi uliomalizika hivi punde huko Dodoma.

Taarifa zinasema Zungu amepata Kura 348 akimshinda mpinzani wake Stephen Masele aliyepata kura 16.

Source: Maulid Kitenge
Hamna kitu hapo takataka
 

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kwa kishindo kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi uliomalizika hivi punde huko Dodoma.

Taarifa zinasema Zungu amepata Kura 348 akimshinda mpinzani wake Stephen Masele aliyepata kura 16.

Source: Maulid Kitenge
huyu mzee mpka afie bungeni khaaa
 
Back
Top Bottom