Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,192
- 99,924
Kwahio hii taarifa inatuhusu nini sisi?
Sidhani kama atamaliza miaka MITANO!huyu mzee mpka afie bungeni khaaa
Ilishajulikana mbona tangu juzi? Maskini Rango
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kwa kishindo kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiti CCM katika Uchaguzi uliomalizika hivi punde huko Dodoma.
Taarifa zinasema Zungu amepata Kura 348 akimshinda mpinzani wake Stephen Masele aliyepata kura 16.
Source: Maulid Kitenge