Mbunge wa Jimbo la Gairo Shabiby akiwa anatoa maoni yake Bungeni, amesema sababu ya ukata wa fedha mitaani umesababishwa na Serikali kuto kuongeza mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka mingi hivyo kupelekea mzunguko wa fedha kuwa mdogo.
Amesisitiza kuwa mzunguko mkubwa wa fedha ktk jamii husababishwa na watumishi wa umma kwani ndio watumiaji wazuri wa fedha ktk manunuzi mbalimbali lkn pia ndio wmetapakaa nchi nzima.
Amesisitiza kuwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi pekee kamwe haiwezi kubadilisha maisha ya watanzania zaidi ya kuongeza mishahara ya watumishi.
Amesisitiza kuwa mzunguko mkubwa wa fedha ktk jamii husababishwa na watumishi wa umma kwani ndio watumiaji wazuri wa fedha ktk manunuzi mbalimbali lkn pia ndio wmetapakaa nchi nzima.
Amesisitiza kuwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi pekee kamwe haiwezi kubadilisha maisha ya watanzania zaidi ya kuongeza mishahara ya watumishi.