Baba Clara
Member
- May 10, 2011
- 94
- 27
KUTOKA FB kwa wall ya Deo KISANDU;Kuna mbunge mmoja anatoka mkoa wa Tabora ananionea gere mimi kutaka kuwa Rais wa nchi hii, akijifanya yeye kafanya mengi, eti wengine wanaoibuka bila kutathimini hawana maana, nimemfuatilia hoja zake kwa mitandao nikagundu anafikra finyu na hofu niliyo isema kuwa sasa hatutaki rais aliyewahi kuwa mbunge wala waziri, tunataka kitu fresh kama KISANDU. Hoja yake niliisikia pia Startv baadhi ya wanasiasa wakisema vijana wasikurupuke, kumbe ni mewachoma walifikri ubunge ndio kipaji.Moto uwake, jua liungue Urais nitaupata