Mbunge wa CCM mkoa wa Tabora aumbuliwa

Baba Clara

Member
May 10, 2011
94
27
KUTOKA FB kwa wall ya Deo KISANDU;Kuna mbunge mmoja anatoka mkoa wa Tabora ananionea gere mimi kutaka kuwa Rais wa nchi hii, akijifanya yeye kafanya mengi, eti wengine wanaoibuka bila kutathimini hawana maana, nimemfuatilia hoja zake kwa mitandao nikagundu anafikra finyu na hofu niliyo isema kuwa sasa hatutaki rais aliyewahi kuwa mbunge wala waziri, tunataka kitu fresh kama KISANDU. Hoja yake niliisikia pia Startv baadhi ya wanasiasa wakisema vijana wasikurupuke, kumbe ni mewachoma walifikri ubunge ndio kipaji.Moto uwake, jua liungue Urais nitaupata
 
KUTOKA FB kwa wall ya Deo KISANDU;Kuna mbunge mmoja anatoka mkoa wa Tabora ananionea gere mimi kutaka kuwa Rais wa nchi hii, akijifanya yeye kafanya mengi, eti wengine wanaoibuka bila kutathimini hawana maana, nimemfuatilia hoja zake kwa mitandao nikagundu anafikra finyu na hofu niliyo isema kuwa sasa hatutaki rais aliyewahi kuwa mbunge wala waziri, tunataka kitu fresh kama KISANDU. Hoja yake niliisikia pia Startv baadhi ya wanasiasa wakisema vijana wasikurupuke, kumbe ni mewachoma walifikri ubunge ndio kipaji.Moto uwake, jua liungue Urais nitaupata

Am lost msaada tafadhali mlio mwelewa huyu mtu wa Tabora
 
Ndicho kitu gani hicho wakuu, mbona sijaelewa? Au ndicho kiswahili kigumu?
 
Unanikumbusha enzi za
~ ukuti
~ kombolela
~ msita
~ monjo
~ kavu n.k

sijakuelewa kabisaa kacheze michezo hiyoooooooooo kwanzaa

V
SENGEREMA
 
Kisandu Urais sio ubalozi wa nyumba kumi tofautisha, jenga chama acha longolongo za kitoto!!
 
KUTOKA FB kwa wall ya Deo KISANDU;Kuna mbunge mmoja anatoka mkoa wa Tabora ananionea gere mimi kutaka kuwa Rais wa nchi hii, akijifanya yeye kafanya mengi, eti wengine wanaoibuka bila kutathimini hawana maana, nimemfuatilia hoja zake kwa mitandao nikagundu anafikra finyu na hofu niliyo isema kuwa sasa hatutaki rais aliyewahi kuwa mbunge wala waziri, tunataka kitu fresh kama KISANDU. Hoja yake niliisikia pia Startv baadhi ya wanasiasa wakisema vijana wasikurupuke, kumbe ni mewachoma walifikri ubunge ndio kipaji.Moto uwake, jua liungue Urais nitaupata

Eleweka mkuu, hatuhitaji mafumbo mafumbo hapa.
 
KUTOKA FB kwa wall ya Deo KISANDU;Kuna mbunge mmoja anatoka mkoa wa Tabora ananionea gere mimi kutaka kuwa Rais wa nchi hii, akijifanya yeye kafanya mengi, eti wengine wanaoibuka bila kutathimini hawana maana, nimemfuatilia hoja zake kwa mitandao nikagundu anafikra finyu na hofu niliyo isema kuwa sasa hatutaki rais aliyewahi kuwa mbunge wala waziri, tunataka kitu fresh kama KISANDU. Hoja yake niliisikia pia Startv baadhi ya wanasiasa wakisema vijana wasikurupuke, kumbe ni mewachoma walifikri ubunge ndio kipaji.Moto uwake, jua liungue Urais nitaupata

Kigwangala awe rais? Walaaniwe wote waliosababisha kikwete awe rais (iwe kihalali au kwa haramu) maana ndio walioleteleza watu kuamini kuwa any f.o.o.l can be a president of this country!
 
Back
Top Bottom