Ilikuwa hakuna bia za bure watu wakagoma kuandamanaJamani yale maandamano ya Marekani dhidi ya JK yaliishia wapi? Nimeangalia chanel na mitandao yote sijaona watu wala mabango. Au ndo kama kawaida ya cdm kuhamasishana kwenye mitandao na kuwaponza wanaojitokeza ili hali waliotoa hamasa wako kwenye keyboard na luninga?
Sio kama imechakachuliwa, wamechakachua tayari zile nondo zote wamezifuta! CDM hooyeee!!! Magwanda Hoyeee??Hii thread kama vile imechakachuliwa!
Leo baada ya hukumu ya kesi ya madiawani mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema atakuwa njiani kuelekea Igunga kwenda kuongeza nguvu kwa wapiganaji wengine wa Cdm ".
Wakati anaongea na radio 5 Arusha amenukuliwa akisema " Ninakwenda Igunga huku nikitambua kuwa uhuni na uonevu,wizi,ulaghai kwa wapiga kura unaofanywa na Chama tawala (CCM) sasa hautavumilika tena kwa sababu tu wanao polisi wenye utii kwao na sasa ni wakati wa watu wote wenye uwezo wa kukemea uovu huu wa kimfumo wawe tiyari hata kwa lolote " kwani ni heri mauti inayopatikana katika kupigania haki kuliko umri mrefu usio na wajibu katika jamii
"Ninakwenda Igunga, ninapenda haki, ninapenda utu, ninaheshimu ukweli nitakuwa tiyari kuvitetea vitu hivi kwa damu yangu ikiwezekana "
Sio kama imechakachuliwa, wamechakachua tayari zile nondo zote wamezifuta! CDM hooyeee!!! Magwanda Hoyeee??
Ilikuwa hakuna bia za bure watu wakagoma kuandamana
Hii thread kama vile imechakachuliwa!
Ni kweli Lema anaelekea Igunga, yupo na vijana 300 wengine wamepanda Fuso za CDM wanakwenda kuongeza nguvu. sijui nani analipa gharama za chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 300 hadi kufikia jana hali ni mbaya sana kwa CDM.
Zile issue za Tindikali pamoja na ya kutaka kumbaka DC walizofanya wahuni wa CDM zimefanya wapenda amani Igunga kuwachukia sana CDM.
Kwa kweli hii dhambi ya ubakakaji na ya Tindikali itaendelea kuwatafuna kama Kansa
Hivi kampeni meneja si ndiyo Mwigule Nchemba au.... Kumbe naye fuskaHivi ile issue ya kusarandia mke wa kada wa CCM na kampeini manager wa maghamba's imeishia wapi??????? Huyo Bwn kazimwa na michuzi ya watu kama rits, maana maghamba kwa rushwa hamjambo!!!!!!!! Taadhari wana Igunga wakubwa wa CCM ni hodari kwa kusarandia wake za watu, chunga wake zenu!!!!!!!!!!
Kwahiyo sasa unakubali kuwa mahaka inatenda haki sio? Nyie ngojeeni tu, siku akipelekwa Mbowe mtasema hii mahakama ni ya CCMIle kesi iliyokua inawakabili wale madiwani watano Arusha hatimaye hukumu imeshatekelezwa na wameshindwa na sasa uchaguzi wa madiwani Arusha utarudiwa tena! Souce Mahakama kuu Arusha.