AlamaZA NYAKATI
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 274
- 28
haki haipatikani bila kuilazimisha toka kwa mafisadi, kila la heri kamanda Lema
Vp unahitaji kuolewa na Dr. Slaa au...?CDM nzima wenye wake ni wawili tu, Lema na Mbowe, cha kushangaza Lema, ana Mke wa ndoa a loser Dr Slaa hajawahi kuoa!
<br />Leo baada ya hukumu ya kesi ya madiawani mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema atakuwa njiani kuelekea Igunga kwenda kuongeza nguvu kwa wapiganaji wengine wa Cdm ".<br />
<br />
Wakati anaongea na radio 5 Arusha amenukuliwa akisema " Ninakwenda Igunga huku nikitambua kuwa uhuni na uonevu,wizi,ulaghai kwa wapiga kura unaofanywa na Chama tawala (CCM) sasa hautavumilika tena kwa sababu tu wanao polisi wenye utii kwao na sasa ni wakati wa watu wote wenye uwezo wa kukemea uovu huu wa kimfumo wawe tiyari hata kwa lolote " kwani ni heri mauti inayopatikana katika kupigania haki kuliko umri mrefu usio na wajibu katika jamii <br />
<br />
"Ninakwenda Igunga, ninapenda haki, ninapenda utu, ninaheshimu ukweli nitakuwa tiyari kuvitetea vitu hivi kwa damu yangu ikiwezekana "
<br />Leta ushahidi kuwa Yesu alimwaga Damu. Halafu vipi unafananisha YESU na huyo jambazi? Wewe mwache akalete fujo, safari hii sio Polisi, ni vijana wa CCM ndio watafanya kazi. Tena watapiga mpaka mtakibilia arusha na chupi mkononi.
Mkuu, acha kubishana na wehu.....kama wasiwasi wao ni watu 300 basi wana taarifa za uongo safari hii hatuwaachi tuna mpango wa kupeleka vijana zaidi 6500 yaani itakuwa hivi; 2000 kutoka Arusha, 2000 Mbeya, 2000 Mwanza, na 500 kutoka MaraHivi wewe ritz hizo habari za fuso, vijana mia tatu (300) sijui wanakwenda Igunga umezipatawapi????????
kuna mbwa wa UwT wana muwinda kweli....Jamanieee mimi niko nje ya nchi, naomba mtanipa matokeo ya awali. Ila mwambieni mheshimiwa awe makini, si mnawajua hawachelewi kumuulia njiani! KILA LA KHERI CDM. C dhani kama Igunga bado wanaukubali ujinga wa 50 yrs!
Ni kweli Lema anaelekea Igunga, yupo na vijana 300 wengine wamepanda Fuso za CDM wanakwenda kuongeza nguvu. sijui nani analipa gharama za chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 300 hadi kufikia jana hali ni mbaya sana kwa CDM.
Zile issue za Tindikali pamoja na ya kutaka kumbaka DC walizofanya wahuni wa CDM zimefanya wapenda amani Igunga kuwachukia sana CDM.
Kwa kweli hii dhambi ya ubakakaji na ya Tindikali itaendelea kuwatafuna kama Kansa
<br />"Ninakwenda Igunga, ninapenda haki, ninapenda utu, ninaheshimu ukweli nitakuwa tiyari kuvitetea vitu hivi kwa damu yangu ikiwezekana "
<br />wewe ni mtoto wa kiume?
Ni kweli Lema anaelekea Igunga, yupo na vijana 300 wengine wamepanda Fuso za CDM wanakwenda kuongeza nguvu. sijui nani analipa gharama za chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 300 hadi kufikia jana hali ni mbaya sana kwa CDM.
Zile issue za Tindikali pamoja na ya kutaka kumbaka DC walizofanya wahuni wa CDM zimefanya wapenda amani Igunga kuwachukia sana CDM.
Kwa kweli hii dhambi ya ubakakaji na ya Tindikali itaendelea kuwatafuna kama Kansa