Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,750
- 218,339
Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini na mkimbizi mstaafu wa kisiasa , Nabii wa Mungu Godbless Lema, amemkaribisha Arusha Katibu Mkuu wa CCM Chongolo, huku akimtahadharisha kwamba kila atakapotia mguu na porojo zake, akinyanyuka tu CHADEMA itafika na kufuta vumbi.
Ujumbe wake huu hapa.
Ujumbe wake huu hapa.