mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
Malima naye aliporwa dola akiwa hotelini
Bila shaka huyo mama kamanda wetu atakuwa ameibiwa na mwanachama wa magwanda kwani wezi wengi mjini ni washabiki wa magwanda.
POLE SANA MAMA KAMANDA WETU KWANI MUNGU ATAWAHAIBISHA WOTE MAGWANDA KWA WIZI WAO.
Safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, Watanzania hawana hata 10,000 ya kununua nyanya na dagaa ya siku moja yeye ana 1.2 milioni za kwenda nazo baa. Halafu mbunge mwenyewe wa viti maalum, duh, laana ya kuwasaliti watanzania itawamaliza Magamba taratibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, but surely
Wewe una hakika na usemalo? au tu nawe umefurahi kuandika humu ndani! nakushauri toka humu kwani humu si saizi yako kwenda kwenye media zingine k.m vile magazeti ya udaku ,uhuru,
Dola siku hizi hutumika sana TZ.KILA KIONGOZI akikutikana na ishu, lazima aseme amepoteza dola!
Ikoje hii?
Welldone jambazi!. endelea kurudisha kodi zako zilizoliwa na magamba. Mtoto wa kike- Baa saa nane usiku!, Kadi za benki TATU!, alafu Hakutia saini.
......kama Kibajaji...mama'ko katia saini?
Usiku wa saa nane mwanamke uko nje? Hivi ameolewa au ameachika au mjane? Kweli siasa kwa wanawake wengine ni kitendawili?
mama'ko katia saini?
hakutia saini, akome
Weeeeeee!!!! Shika adabu yako pepe tena ukome kuhusisha chadema nawizi.... Wizi unaofanywa na serikali yako na kutetewa na baba mwanaasha mbona huusemi?????Bila shaka huyo mama kamanda wetu atakuwa ameibiwa na mwanachama wa magwanda kwani wezi wengi mjini ni washabiki wa magwanda.
POLE SANA MAMA KAMANDA WETU KWANI MUNGU ATAWAHAIBISHA WOTE MAGWANDA KWA WIZI WAO.
Mnapenda kuonea dagaa mbona hao makambale mmeshindwa kuwafukuza!!????? Milya kachoka ujambazi wenu ndo maana kawakimbia, haooooo!!!!huo ni uwendawazimu kufurahia wizi alafu ww ungekuwa kwenye chama chetu ccm tungekuwa tumeshakufukuza kwa wizi kama tulivyomtimua millya kwa wizi wa mil.2 na kusingizia eti kahama kwa hiari. .
Wenzenu akina Lusinde na Nchemba walitumia matusi wakaturahisishia ushindi.
Na nyie endeleeni hivyo hivyo nchi ipate ukombozi
Weeeeeee!!!! Shika adabu yako pepe tena ukome kuhusisha chadema nawizi.... Wizi unaofanywa na serikali yako na kutetewa na baba mwanaasha mbona huusemi?????