hakutia saini, akome
Umekosea
Sema mlevi kaporwa baa! Wabunge hawaendi bar. They go to five star hotels. Kama Maige anaweza kununua Nyumba ya $ 400,000 za Kimarekani na Form alijaza za maadili then hatuna serikali. Hayo ni maneno ya Mbunge wa Katavi. Ndiyo maana amekuwa nanga wala ripoti ya Kamati hakuisoma who cares!