Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Peneza hakuambulia hata ndani ya top 5 ?Hapana
Mshindi alikuwa Abdul mpemba
No 2 alikuwa Charles
No 3 alikuwa Sandu hlf akaingia kuigiza baadae sijui alipotelea wapi,alikuwa na nywele ndefu
Peneza hakuambulia hata ndani ya top 5 ?Hapana
Mshindi alikuwa Abdul mpemba
No 2 alikuwa Charles
No 3 alikuwa Sandu hlf akaingia kuigiza baadae sijui alipotelea wapi,alikuwa na nywele ndefu
Duh basi nilijua alishinda yeye, huyu Abdul ndo huyu anatangaza EATV Skonga?
Kwa hilo sijui kwasababu siangaliagi EATV, wanaojua watakufahamisha
Hayo matokeo sikuyajua aisee, maana mimi toka kipindi hicho nilijua ameshinda yeye.
Maana alikuwa na wafuasi wengi sana, mimi nilikuwa namwelewa mpaka sikosi kuangalia kipindi.
Ni kweli nadhani fainali itakuwa ilinipita.Labda utakua hukuangalia fainali, hata hivyo wafatiliaji wengi tulijua Upendo atashinda lakini haikua hivyo
Huwa nikimuona Upendo namkumbuka marehemuRegia Mtema.. Alimwona kupitia Maisha plus na akamlea mpaka lro ni Mbunge tena mbunge mwenye hoja jadilifu.Kipanya kapika hichi chombo kupitia Maisha Plus
Huwa nikimuona Upendo namkumbuka marehemuRegia Mtema.. Alimwona kupitia Maisha plus na akamlea mpaka lro ni Mbunge tena mbunge mwenye hoja jadilifu.
Sijakuuliza weweNi penyeza.
Kwani umekasirika??Sijakuuliza wewe
Wewe ulichoandika unakionaje, kinafurahisha au kinakasirisha?Kwani umekasirika??
Mzee Baba!Kipanya kapika hichi chombo kupitia Maisha Plus
Kwani umechafukwa na tumbo la kuhara??Wewe ulichoandika unakionaje, kinafurahisha au kinakasirisha?
Umepotea kama shilingi mtaaniMzee Baba!
Kumbe alishinda....
Mimi nilifuatilia sana ya miaka ya 2008-2009.
hivi wa kafulia(kafulila) si anaitwa jescarMkuu naona ipo shida eee!, huyo ni mke Wa David Kafulila - RAS Wa mkoa Wa Songwe kwa sasa.
Hakushinda na alipata kashfa ya kumuita Abdul mchawi ndio ile kashfa ikamtoa kwenye reli na Abdul kupata hurima ya wapiga kura na kuibuka mshindi, upendo alilia sana na kuomba radhiHayo matokeo sikuyajua aisee, maana mimi toka kipindi hicho nilijua ameshinda yeye.
Maana alikuwa na wafuasi wengi sana, mimi nilikuwa namwelewa mpaka sikosi kuangalia kipindi.
Hakushinda na alipata kashfa ya kumuita Abdul mchawi ndio ile kashfa ikamtoa kwenye reli na Abdul kupata hurima ya wapiga kura na kuibuka mshindi, upendo alilia sana na kuomba radhi