Mbunge salvatory machem (chadema )ukerewe contacts wanted

Jun 9, 2011
92
53
Ndugu wana JF mimi ni mzaliwa wa ukerewe ila kwasasa nipo hapa Nairobi nchini Kenya kwenye moja ya mashirika ya kimataifa linalojihusisha na maswala ya kuendeleza wakazi wa maeneo ya visiwa katika nyanja za mazingira, elimu , afya na kilimo sasa nimejaribu kupiga chapuo sana kuhusu ukerewe nayo ijumuishwe kwenye mradi mkubwa utakaoanza mwezi wa saba mwanzoni mwaka huu nimekwama kitu kimoja kuna mambo kadhaa nataka nimjulishe mbunge wa ukerewe Mh Salvatory Machem kuhusu hiyo project na pia kuna vigezo inabidi vifikiwe sasa nataka nimwambie hivyo vitu vyenyewe ili ajipange vizuri tufanikishe hii project na kuwasaidia wana ukerewe.

Hivyo ndugu zangu wana jf na wanaukerewe naomba mwenye mawasiliano ya huyu mbunge wa ukerewe Mh Salvatory Machem anipatie maramoja, naomba email yake, simu ya ofisini na hata namba yake ya mkononi au hata Sanduku lake la posta ila tafadhali sana naomba mawasiliano yake yatakayonisaidia kumpata kwa haraka ikiwezekana leo au week ijayo.

waweza kunipatia hapa jamvini hapa au nitumie kwenye email hii kwa sababu za kiusalama kipangamlakuku@hotmail.com

ASANTENI WOTE NA NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU
 
Ndugu wana JF mimi ni mzaliwa wa ukerewe ila kwasasa nipo hapa Nairobi nchini Kenya kwenye moja ya mashirika ya kimataifa linalojihusisha na maswala ya kuendeleza wakazi wa maeneo ya visiwa katika nyanja za mazingira, elimu , afya na kilimo sasa nimejaribu kupiga chapuo sana kuhusu ukerewe nayo ijumuishwe kwenye mradi mkubwa utakaoanza mwezi wa saba mwanzoni mwaka huu nimekwama kitu kimoja kuna mambo kadhaa nataka nimjulishe mbunge wa ukerewe Mh Salvatory Machem kuhusu hiyo project na pia kuna vigezo inabidi vifikiwe sasa nataka nimwambie hivyo vitu vyenyewe ili ajipange vizuri tufanikishe hii project na kuwasaidia wana ukerewe.

Hivyo ndugu zangu wana jf na wanaukerewe naomba mwenye mawasiliano ya huyu mbunge wa ukerewe Mh Salvatory Machem anipatie maramoja, naomba email yake, simu ya ofisini na hata namba yake ya mkononi au hata Sanduku lake la posta ila tafadhali sana naomba mawasiliano yake yatakayonisaidia kumpata kwa haraka ikiwezekana leo au week ijayo.

waweza kunipatia hapa jamvini hapa au nitumie kwenye email hii kwa sababu za kiusalama kipangamlakuku@hotmail.com

ASANTENI WOTE NA NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU

Tafadhali jaribu kuingia kwenye website ya bunge nadhani utapata hizo contact
 
Back
Top Bottom