Mbunge Salome Mwambu hoi jimboni Iramba Mashariki

Mbunge Salome Mwambu hoi jimboni Iramba Mashariki

Niseme tu ni kweli kwamba Salome Mwambu itakuwa tabu sana kupita, japo Kuna mtu anapitapita Iramba, nadhanMbulu NAKEI (CCM) kama sikosei, vyama vingine vikiwemo TLP, NLD na hata UPDP havina nafasi ya kuchukua jimbo hilo wala kufikisha robo ya kura zote halali......propaganda za kwenye mitandao ni tofauti na hali halisi huko Iramba!
kuna jamaa pia anatoka Dar,amegombea kama mara 3 kwenye kura ya maoni hapiti,nasikia amejipanga sana sasa kwa tiket ya CCM.mnaojua huko upepo ukoje.Natafuta jina lake
 
kuna jamaa pia anatoka Dar,amegombea kama mara 3 kwenye kura ya maoni hapiti,nasikia amejipanga sana sasa kwa tiket ya CCM.mnaojua huko upepo ukoje.Natafuta jina lake
Ni Kisui ila Allan Kiula anaonekana kujipanga zaidi.
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

Duu hapo kwenye maradhi mdau omba radhi kwani hujamtendea haki ugonjwa ni siri kati ya dr na mgonjwa mwenyewe usitukane mamba haujavuka mto, na kama umeowa ama kuolewa upo kwenye jahazi katikati ya kina kirefu cha bahari na mawimbi ni makali ndio maisha wanandoa wanayoishi kwa sasa wewe utajiheshu mwenzako je ? Mwombe Mungu atuepushe mbali na haya maradhi kwa vile hakuna anayejichagulia au kupenda kuumwa.
 
hILO LA UKIMWI UMEKURUPUKA KAKA,KISUKARI YES TUNAWEZA KUKUSIKILIZA KIDOGO

Ndugu ombea hicho kisukari unachosema kikupitie mbali kwa wale wagonjwa wanaougua kwa sasa kisukari wanakuambia ni aheri mtu anayeugua ukimwi kuliko kisukari ni shida kwanza kwenye suala la vyakula ni vya kuchagua , mara ukiugua kwa muda mrefu figo zinaanza kufeli, mwenye H.i.v ukifuata utaratibu wa dawa mazoezi unaishi vizuri kuliko hata yule alio mzima Mungu aepushie mbali.
 
Mkuu Tundu Lissu ni mbunge wa Singida Mashariki, na sio Iramba. Savimbi ndo Iramba Magharibi. nadhani hapo umeelewa sasa.

Huko Singida wanapenda sana pande nne za dira. Kuna Singida Mashariki (Lissu), Singida Kaskazini (Nyalandu), Iramba Magharibi (Nchemba), Iramba Mashariki (Salome), n.k.
 
Ndugu yangu ni kweli zipo siasa chafu, ila hicho unachokieleza hapo hakipo kwenye jamii ya watu waliostaarabika katika medani za kisiasa.
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

Huyo mama nasikia alikuwa mgonjwa muda mrefu. Mungu ampe afya njema ashuhudie wakati tunakomboa jimbo
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Kuna ukame mwaka huu ambao utasababisha njaa na wananchi watapewa chakula cha msaada na serikali ya CCM. Baada ya kushiba na kuokolewa na janga la kufa njaa watakuwa hawana cha kuwalipa CCM zaidi ya kuendelea kuwachagua kwa kishindo
 
Tofauti za kisiasa zisituondolee utu kwa kudhihaki afya za wenzetu. Sote tu viumbe dhaifu hatujui lini tutakuwa wazima na lini tutaugua...
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.


Ukimwi na sukari ulimpima au ndio kuchafuana.
 
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.

Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.

Pia Salome yupo hoi kiafya kutokana na maradhi mbalimbali yanayomsumbua kama UKIMWI na Kisukari.

We mara ya mwisho umepima UKIMWI lini?
 
Ndugu yangu ni kweli zipo siasa chafu, ila hicho unachokieleza hapo hakipo kwenye jamii ya watu waliostaarabika katika medani za kisiasa.

Kiukweli hilo jimbo ni kama halina mbunge,nimebahatika kuwa hapo km miezi 6 na kwa jinsi ambavyo wananchi walivyo sidhani kama upinzani wanaweza kulichukua.Nimesema ili kwa sababu vijana wengi waliokuwa wanamlalamikia mbunge kwa kuuza uwanja wa mpira kwa mil 5 tu,mh tundu lissu alipokuja ktk kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa vijana walijitokeza na kuchukua kadi za chadema.
Wiki iliyofuata ukafanyika mkutano kwa upande wa ccm na cha kushangaza vijana walewale wakiongozwa na captain wao aliyeletwa ktk gari ya mbunge salome akiendeshwa na mtoto wa kiume wa mbunge alirudisha kadi ya chadema na kupewa mpya ya ccm.NILICHOKITAFITI NA KUGUNDUA NI UPEO MDOGO WA KUFIKIRI KWA WALIO WENGI.
Kama kweli upinzani unataka kuchukua hilo jimbo wanapaswa kupiga kambi ya kutosha kuelimisha wananchi wa jimbo hili.
Nimetoa hali halisi ktk eneo la iguguno.
 
Ndugu mleta taarifa ya Mbunge Salome. Asante kwa taarifa. Ila wakati mwingine uwe na staha juu ya utu wa mtu. Si vyema kutumia ugonjwa wa mtu kumdhalilisha au kumchafulia taswira yake. Bali vyema kumpima kwa utendaji kazi wake. Kwani wapo wengi wenye magonjwa sugu lakini wanatenda kazi zao vyema.
 
Ni Kisui ila Allan Kiula anaonekana kujipanga zaidi.

you mean huyu Dr.Stephen Kisui aliyekuwa Mkurugenzi wizarani pale,nae kaingia kwenye politics?halafu haya majina haya mbona alarm zinalia kichwani,..Allan Kiula...Salome Mwambu..aargh Kiranga nikumbushe bhana!
 
Last edited by a moderator:
Jadili masuala ya siasa na si ugonjwa wa mtu.
ulianza vizuri uzi wako ila mwishoni umeharibu kabisa.
 
Ndugu mleta taarifa ya Mbunge Salome. Asante kwa taarifa. Ila wakati mwingine uwe na staha juu ya utu wa mtu. Si vyema kutumia ugonjwa wa mtu kumdhalilisha au kumchafulia taswira yake. Bali vyema kumpima kwa utendaji kazi wake. Kwani wapo wengi wenye magonjwa sugu lakini wanatenda kazi zao vyema.
Frankly speaking sina utu na mwana CCM yeyote.
 
Back
Top Bottom