MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,046
- 1,105
Salaam wanaJF. Mbunge wa Iramba Mashariki Salome Mwambu yuko hoi jimboni kwake kwani ameshindwa kutekeleza ahadi zake alizoahidi mwaka 2010. Jimbo halina miundombinu ya uhakika kama barabara.
Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.
Barabara zipo kama palio la n'gombe na hazipitiki wakati wa masika. Afya na elimu pia ni hoi. Wananchi sasa wamejiandaa kufanya mabadiliko makubwa hapo October 2015 kwa kukifuta kabisa Chama Cha Mapinduzi na kuchagua CHADEMA kama mwokozi wao.