Frediluu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 1,075
- 266
Sasa sisi tupo kongo
Invyoonekana ndiko tunapoelekea
Sasa sisi tupo kongo
Sabab n muislam ....Yule kijana bodaboda simkumbk alikamatwa na Bomu akilipua mkutano wa chadema hakuitwa gaid na hajulikan kes imeishia wapKwahyo Km Ni Gaidi Umwue?Kuna Haja Gani Yakumpiga Risasi Mtu Ambaye Hana Silaha?Tunakoenda Tanzania Nikama Tumepotea
Utakuta ni wivu wa mapenzi tuJeshi hili limejaa watoto wa mjomba, vinginevyo haiwezekani mtu aliyafauru vyema mitihani yake ya upelelezi akimbilie silaha ya moto kwa mwanafunzi anayeishi kijijini. Ni kashfa tu. Polisi walipaswa kujikita kwenye upelelezi kijijini hapo mpaka wajiridhishe kama kweli mlengwa ni musika ama laa na bado walikuwa na uwezo wa kumtia mbaroni ili kuendeleza upelelezi ili ikibidi kupata taarifa zaidi.lakini kilichofanyika ni aibu kwa jeshi letu
Aiseee!Hana haja ya kulia. Haya mambo ni ya kitaalam sio siasa kwahiyo awaachie wataalam.
hujasikia au hujafatilia...si kamanda wa polisi amesema alikua anadhaniwa kwamba ni gaidi
Utaalamu wa kuua? Vyombo vya sheria vipo na vina kazi hiyo ya kutoa haki. Kama ushahidi umejitosheleza aende mahakama lakini ukimuua utajuaje kama kweli ni mhalifu.Usiongee hivyo kwakua sio Ndugu yako au mwanao.Hana haja ya kulia. Haya mambo ni ya kitaalam sio siasa kwahiyo awaachie wataalam.
Maiti za coco Beach hivi zimeshapata wenyewe ?....
hivi magaidi wa kibiti walikua wanataka nini? ....mana imeshakua sababu ya kufanya mauaji ya watu wasio na hatia ....mwanafunzi atoke Mbeya akafanye ugaidi kibiti kwanini asifanyie kwao Mbeya....ripoti ya mahudhurio nina uhakika haitaonyeshwa...watafanya kama kwa lissu zile CCTV camera walivyozitoa kabisaa
Kudhani, kudhani, kudhani... we mwenyewe unadhani polisi walifunga safari yote hiyo kwenda kuua mtu? Ndio unadhani hivyo??Halima, we baki kwenye kusasambua.
Kijana wa miaka 17 ni mwanajeshi kabisaaa...huko kongo, somalia na sudani...madogo wa miaka 10-17 wameamgamiza maelfu ya watu. Huo umri usikuzibe macho.
Hivi we hujiulizi, ilikuwaje katika mazingira ya kitanzania, polisi waende kumwandama kijana wa miaka 17 hadi huko kijijini kwao?
Unadhani walifunga safari yote hiyo kwa bahati mbaya?
Maxmizer ,
Mkuu mtu akitajwa tu kuwa gaidi hapo tunazungumzia vifo vya watu wasiokuwa hatia kutokea siku chache zijazo.
Bora aondolewe tu mapema.
Polisi wanafanya kazi nzuri sana. Tukicheka na nyani tutavuna mabua mapemaaaa asubuhi kabla hakujakucha.
Hivyo, ni bora wapumzishwe kwa amani magaidi wote kabla hatujaanza kukimbia miji na vijiji kama ilivyo Nigeria, Cameroon, Somalia, na Kwengineko kote.
Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ameangua kilio hadharani kwenye mkutano aliokuwa amefanya na wananchi wa kijiji cha Ruhembe wilayani Kilosa na kuwaomba Waziri wa mambo ya ndani na waziri mkuu wachukue hatua kabla ya wananchi kujichukulia hatua
Wananchi hao pia waligoma kuzika mwili wa mtu huyo aliyejulikana kwa jina la Salim Said Mheka mwenye umri wa miaka 17 aliyeuawa na polisi wa kitengo maalumu kwa madai kuwa alikuwa ni mhalifu wa Kibiti
Kijana huyo alimaliza kidato cha nne katika shule ya sekondari Ruhembe,
Kamanda wa polisi mkoani Morogoro amesema kijana huyo alikuwa anajihusisha na ugaidi
Kama kwali amejihusisha na ugaidiKwahyo Km Ni Gaidi Umwue?Kuna Haja Gani Yakumpiga Risasi Mtu Ambaye Hana Silaha?Tunakoenda Tanzania Nikama Tumepotea
Inaweza kuwa hivyo, maana tunavyojua cha kwanza wangefanya upelelezi kisha mahakamaniUtakuta ni wivu wa mapenzi tu
Kwa gaid n nan na kwa mujib wa nan ....if kuua ndo ugaid bas wao n magaid wakubwa walivoua mamia ya waislam mwembechai ....... Tuwaachie wataalam ambao wao ndo wamemuua ....Hana haja ya kulia. Haya mambo ni ya kitaalam sio siasa kwahiyo awaachie wataalam.
Sabab n muislam ....Yule kijana bodaboda simkumbk alikamatwa na Bomu akilipua mkutano wa chadema hakuitwa gaid na hajulikan kes imeishia wap
Utaalamu wa kuua?Hana haja ya kulia. Haya mambo ni ya kitaalam sio siasa kwahiyo awaachie wataalam.
ama kweli msiba uusikie kwa jirani tu
umenena vema ...magaidi wa Kenya wanataka Kenya iondoe majeshi Somalia... hawa wa kwetu wanataka nini?claytonx
Mkuu,
Mbeya na kibiti mbona ni ulimi na meno kabisa!!
Kumbuka, Aliyetoka Dodoma , akenda Mwanza kisha akavuka mpaka Kenya kule kwenye campus ya Garisa na kufanya mauaji akiwa na magaidi wenzake?
Tena naye alikuwa mwanafunzi wa secondary age yake kati ya 17-19 years old!!
Ugaidi ni zaidi ya jinsi unavyoweza kuona tukio linapotokea.
Ila mifumo yake ni complex and sophisticated sana.
Kwa hiyo, akionekana tu gaidi anapewa ganzi ya milele.
Polisi kazi yenu ni nzuri sana.
Tunahitaji kuwa na amani nchini Tanzania
Hakuna haja ya vyama vingi...bado nchi haiko tayar....kila mda siasa tuuu...hakuna polisi mjinga wa kwenda kumpiga risasi kijana wa miaka 17 ....!!! Kama wamejiridhisha the only solution is to kill them...huwez cheka na kifo