hata wabunge wa ccm wananunulika. mil kumi kumi tu.Kwa hiyo nadiwani wa Chadema wananunulika?
Acha kutuondoa kwenye mada ishu kwamba vifaa in vya Australia haimaanishi kwamba an anavishindanisha na vile vilivyotumika kumulika ujinga Wa ArushaKwa hiyo Msigwa nae ana video..?
Hivi ukishapeleka ushahidi TAKUKURU nani mwenye wajibu wa kufungua shauri.?
Na kwa nini Msigwa hajakabidhi ushahidi wa video TAKUKURU.?
Halafu tofauti ya vifaa vya AUSTRALASIA na UK ni ipi.....kwamba vya kwa Msigwa ndio bora zaidi ama ushahidi wa Msigwa ndio bora zaidi kuliko wa Lema na Nasari.?
Au anatafuta kiki za pikipiki....
Akili yako Nina mashaka NAyo. Hao walionunuliwa ndio waliorekodi hizo video. Kwa hiyo unatakiwa kujua kuwa mnunuzi kaingizwa kwenye mtego.Kwa hiyo nadiwani wa Chadema wananunulika?
Na kwa bahati mbaya sana amenasa. Tanzania bila ssem inawezekanaAkili yako Nina mashaka NAyo. Hao walionunuliwa ndio waliorekodi hizo video. Kwa hiyo unatakiwa kujua kuwa mnunuzi kaingizwa kwenye mtego.
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa CHADEMA pia ilifanyika Iringa Mjini na kusema kuwa wao walitumia vifaa kutoka Australia kubaini hilo.
Peter Msigwa amesema hayo leo jijini Dar es salaam baada ya kutoka Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo walikwenda kuwasilisha ushahidi wa rushwa dhidi ya kununuliwa kwa madiwani hao na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.
"Iringa Mjini biashara nayo ilifanyika. Nina ujasiri mkubwa kwamba muhusika mkuu wa biashara ya kununua madiwani Iringa Mjini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya Polisi, hiyo mliona 'Episode' ya Arusha vilitumika vifaa vya Uingereza kule Iringa tulitumia vifaa vya Australia na sisi tutafungua jalada kama ambavyo Mkurugenzi wa TAKUKURU ametushauri.
"Kwa hivyo tusubiri sababu tumekabidhi kwenye korido za Serikali na tunataka sheria zichukue mkondo wake huu uongo uongo wa kusema watu wanaunga mkono utendaji wa Serikali tunataka ufike mwisho ili watu wakae kwenye nafasi zao kwa haki na jinsi ambavyo watu waliamua kuwachagua". alisema Mchungaji Peter Msigwa.
Chanzo: East Africa Radio
Kwa hiyo Msigwa nae ana video..?
Hivi ukishapeleka ushahidi TAKUKURU nani mwenye wajibu wa kufungua shauri.?
Na kwa nini Msigwa hajakabidhi ushahidi wa video TAKUKURU.?
Halafu tofauti ya vifaa vya AUSTRALASIA na UK ni ipi.....kwamba vya kwa Msigwa ndio bora zaidi ama ushahidi wa Msigwa ndio bora zaidi kuliko wa Lema na Nasari.?
Au anatafuta kiki za pikipiki....
Duh! Sasa ni Australia? Msigwa naye alienda kusoma, au ni safari za kidini?Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa CHADEMA pia ilifanyika Iringa Mjini na kusema kuwa wao walitumia vifaa kutoka Australia kubaini hilo.
Peter Msigwa amesema hayo leo jijini Dar es salaam baada ya kutoka Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo walikwenda kuwasilisha ushahidi wa rushwa dhidi ya kununuliwa kwa madiwani hao na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.
"Iringa Mjini biashara nayo ilifanyika. Nina ujasiri mkubwa kwamba muhusika mkuu wa biashara ya kununua madiwani Iringa Mjini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya Polisi, hiyo mliona 'Episode' ya Arusha vilitumika vifaa vya Uingereza kule Iringa tulitumia vifaa vya Australia na sisi tutafungua jalada kama ambavyo Mkurugenzi wa TAKUKURU ametushauri.
"Kwa hivyo tusubiri sababu tumekabidhi kwenye korido za Serikali na tunataka sheria zichukue mkondo wake huu uongo uongo wa kusema watu wanaunga mkono utendaji wa Serikali tunataka ufike mwisho ili watu wakae kwenye nafasi zao kwa haki na jinsi ambavyo watu waliamua kuwachagua". alisema Mchungaji Peter Msigwa.
Chanzo: East Africa Radio
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa CHADEMA pia ilifanyika Iringa Mjini na kusema kuwa wao walitumia vifaa kutoka Australia kubaini hilo.
Peter Msigwa amesema hayo leo jijini Dar es salaam baada ya kutoka Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo walikwenda kuwasilisha ushahidi wa rushwa dhidi ya kununuliwa kwa madiwani hao na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.
"Iringa Mjini biashara nayo ilifanyika. Nina ujasiri mkubwa kwamba muhusika mkuu wa biashara ya kununua madiwani Iringa Mjini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya Polisi, hiyo mliona 'Episode' ya Arusha vilitumika vifaa vya Uingereza kule Iringa tulitumia vifaa vya Australia na sisi tutafungua jalada kama ambavyo Mkurugenzi wa TAKUKURU ametushauri.
"Kwa hivyo tusubiri sababu tumekabidhi kwenye korido za Serikali na tunataka sheria zichukue mkondo wake huu uongo uongo wa kusema watu wanaunga mkono utendaji wa Serikali tunataka ufike mwisho ili watu wakae kwenye nafasi zao kwa haki na jinsi ambavyo watu waliamua kuwachagua". alisema Mchungaji Peter Msigwa.
Chanzo: East Africa Radio
Ukikimbia nchale ukisimama nchale,aibu yenuKwa hiyo Msigwa nae ana video..?
Hivi ukishapeleka ushahidi TAKUKURU nani mwenye wajibu wa kufungua shauri.?
Na kwa nini Msigwa hajakabidhi ushahidi wa video TAKUKURU.?
Halafu tofauti ya vifaa vya AUSTRALASIA na UK ni ipi.....kwamba vya kwa Msigwa ndio bora zaidi ama ushahidi wa Msigwa ndio bora zaidi kuliko wa Lema na Nasari.?
Au anatafuta kiki za pikipiki....
Hahahaha kweli no hatari sana kuona jamii inaendelea kuwaamini wanasiasa ....kuna maswali mengi ya kujiuliza ...je? Huo ushaidi ameupata kabla au baada ya tukio la kuhama chama.....Eeh, bwana ukweli utamalaki.
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa CHADEMA pia ilifanyika Iringa Mjini na kusema kuwa wao walitumia vifaa kutoka Australia kubaini hilo.
Peter Msigwa amesema hayo leo jijini Dar es salaam baada ya kutoka Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo walikwenda kuwasilisha ushahidi wa rushwa dhidi ya kununuliwa kwa madiwani hao na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.
"Iringa Mjini biashara nayo ilifanyika. Nina ujasiri mkubwa kwamba muhusika mkuu wa biashara ya kununua madiwani Iringa Mjini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya Polisi, hiyo mliona 'Episode' ya Arusha vilitumika vifaa vya Uingereza kule Iringa tulitumia vifaa vya Australia na sisi tutafungua jalada kama ambavyo Mkurugenzi wa TAKUKURU ametushauri.
"Kwa hivyo tusubiri sababu tumekabidhi kwenye korido za Serikali na tunataka sheria zichukue mkondo wake huu uongo uongo wa kusema watu wanaunga mkono utendaji wa Serikali tunataka ufike mwisho ili watu wakae kwenye nafasi zao kwa haki na jinsi ambavyo watu waliamua kuwachagua". alisema Mchungaji Peter Msigwa.
Kazi kweli maana no full usanii
Chanzo: East Africa Radio
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa CHADEMA pia ilifanyika Iringa Mjini na kusema kuwa wao walitumia vifaa kutoka Australia kubaini hilo.
Peter Msigwa amesema hayo leo jijini Dar es salaam baada ya kutoka Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo walikwenda kuwasilisha ushahidi wa rushwa dhidi ya kununuliwa kwa madiwani hao na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.
"Iringa Mjini biashara nayo ilifanyika na nina ujasiri mkubwa kwamba muhusika mkuu wa biashara ya kununua madiwani Iringa Mjini ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi ya Polisi, hiyo mliona 'Episode' ya Arusha vilitumika vifaa vya Uingereza kule Iringa tulitumia vifaa vya Australia na sisi tutafungua jalada kama ambavyo Mkurugenzi wa TAKUKURU ametushauri.
"Kwa hivyo tusubiri sababu tumekabidhi kwenye korido za Serikali na tunataka sheria zichukue mkondo wake huu uongo uongo wa kusema watu wanaunga mkono utendaji wa Serikali tunataka ufike mwisho ili watu wakae kwenye nafasi zao kwa haki na jinsi ambavyo watu waliamua kuwachagua". alisema Mchungaji Peter Msigwa.
Chanzo: East Africa Radio
AUSTRALASIA Ndiyo nini au nawewe umechapia? Hiyo avatar yako inanisikitisha sana tena sana.Kwa hiyo Msigwa nae ana video..?
Hivi ukishapeleka ushahidi TAKUKURU nani mwenye wajibu wa kufungua shauri.?
Na kwa nini Msigwa hajakabidhi ushahidi wa video TAKUKURU.?
Halafu tofauti ya vifaa vya AUSTRALASIA na UK ni ipi.....kwamba vya kwa Msigwa ndio bora zaidi ama ushahidi wa Msigwa ndio bora zaidi kuliko wa Lema na Nasari.?
Au anatafuta kiki za pikipiki....