PreGE2025 Mbunge Ndaisaba Ruhoro Atimiza Ahadi ya Kompyuta - Mabawe Sekondari

PreGE2025 Mbunge Ndaisaba Ruhoro Atimiza Ahadi ya Kompyuta - Mabawe Sekondari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,428
Mbunge wetu RUHORO amekamilisha ahadi yake ya kutoa Simu Janja na komputa moja kwa wananchi wa kata ya Mabawe. Ahadi hizo alizitoa kwa nyakati tofauti tofauti alipokuwa ametembelea Kata ya Mabawe mwaka jana.

WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.28.jpeg
Simu janja inakwenda kuongeza idadi ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi sanaosajiliwa katika mifumo ya CCM . kompyuta inakwenda kuondoa adha iyonakabili mafunzo ya komputa kwa vitendo.

Mahitaji hasa ya komputa ni makubwa sana hivyo Ruhoro anaomba mdau yeyote anayeguswa na jambo hili kujitoa ili angalau shule hii na nyingine ziweze kupata komputa ili kuwezesha watoto wetu kujifunza kwa vitendo.

WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.25.jpeg
WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.29.jpeg
WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.42.jpeg
Wenu
Ernest Ruhugu
Katibu wa Mbunge
Jimbo la Ngara
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.30.jpeg
    WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.30.jpeg
    109 KB · Views: 17
  • WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.32.jpeg
    WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.32.jpeg
    108.5 KB · Views: 18
  • WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.34.jpeg
    WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.34.jpeg
    106.7 KB · Views: 18
  • WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.38.jpeg
    WhatsApp Image 2025-04-14 at 12.33.38.jpeg
    113 KB · Views: 17
Back
Top Bottom