Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 770
- 493
Mbunge Wa Jimbo la Ndanda Mhe. Cecil David Mwambe ameendelea na ziara Jimboni.
Leo tarehe 20 Julai, 2023 amefanya kikao na OCD Masasi pamoja na wasaidizi wake. Katika kikao hicho wamejadili mambo mbalimbali ya kiusalama Jimboni Ndanda. Pia walijadiliana juu ya ujenzi wa Kituo kipya cha Polisi kwenye kata ya Chiwale.
Kwa kuanzia Mwambe aliahidi kutoa mifuko 100 ya saruji kufanikisha huo ujenzi.
Leo tarehe 20 Julai, 2023 amefanya kikao na OCD Masasi pamoja na wasaidizi wake. Katika kikao hicho wamejadili mambo mbalimbali ya kiusalama Jimboni Ndanda. Pia walijadiliana juu ya ujenzi wa Kituo kipya cha Polisi kwenye kata ya Chiwale.
Kwa kuanzia Mwambe aliahidi kutoa mifuko 100 ya saruji kufanikisha huo ujenzi.