Nimewasikia wafanyabiashara kupitia Redio Free Africa Leo asubuhi wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.
Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Soko lilikuwa imara limeanza kuyumba mwaka jana bana kama ambavyo biashara nyingine zilivyoyumba,,,,,, ni wajibu wa serikali kuingilia kati kuwasaidia hata kutafuta masoko nje ya nchi,,,,,, kilimo hicho hawajaanza leoKABLA YA KUFANYA INVESTMENT YOYOTE ILE NI LAZIMA KWANZA UWE UMEFANYA UTAFITI WA MASOKO KWANZA
Soko lilikuwa imara limeanza kuyumba mwaka jana bana kama ambavyo biashara nyingine zilivyoyumba,,,,,, ni wajibu wa serikali kuingilia kati kuwasaidia hata kutafuta masoko nje ya nchi,,,,,, kilimo hicho hawajaanza leo
Msigwa anahusika na iringa manispaa mkuuNimewasikia wafanyabiashara kupitia Redio Free Africa Leo asubuhi wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.
Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Msigwa analitoa wapi hilo soko la nyanya, huenda naye pia ana shamba huko!Nimewasikia wafanyabiashara kupitia Redio Free Africa Leo asubuhi wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.
Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Azinunue zote kwa bei nzuri labda!Unataka awape nini???
Tupo kwenye kipindi kizuri kwa kuwa serikali hii sera yake ni Viwanda.. Sehemu kama hizi walitakiwa wafundishwe njia rahisi za kuhifadhi, kutunza na kuchakata nyanya ili zidumu kwa muda mrefu na ziongezeke thamani. Hakuna haja sana kuendelea kulitizama soko la ndani wakati soko la nje ni kubwa. Tunahitaji uthubutu tu.
Soko lilikuwa imara limeanza kuyumba mwaka jana bana kama ambavyo biashara nyingine zilivyoyumba,,,,,, ni wajibu wa serikali kuingilia kati kuwasaidia hata kutafuta masoko nje ya nchi,,,,,, kilimo hicho hawajaanza leo