Mbunge Moses Machali anachemka Channel 10

Mbunge Moses Machali anachemka Channel 10

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,781
Mbunge wa Nccr Mageuzi Moses Machali akizungumza leo ktk kipindi cha Hamza Kasongo kwenye Mada inayosema MUSTAKABALI WA TANZANIA KWA MUJIBU WA NCCR MAGEUZI ameshindwa kabisa kuongelea hoja hiyo na badala yake akajikita kuiponda CHADEMA akisema viongozi wake walichukua mashangingi ya Ubunge wakati waliyakataa, na kuwa CHADEMA wanakituhumu chama chao na cha CUF kuwa ni Mamluki wa CCM.

Mwanamtwara mmoja akipiga simu amezidi kumwaibisha Mbunge huyo kwa kumtaka aeleze ukweli wa nini kilimpata Mbatia akiwa jukwaani, lakn Machali amemtetea bosi wake kwa kukataa katakata kuwa hakushushwa jukwaani, bali ni propaganda za CHADEMA.

Ni masikitiko mno kwa kijana wa umri wake kutoeleza msimamo wa chama chake, badala yake ameongea off-points na kuchemka, huku maongezi yakijikita kwenye jazba na lawama tupu.

NCCR Mageuzi jipangeni upya.
 
ukikosa chama chenye akili cha kukiwakilisha hata kichwani kwako kunakuwa tupu vile vile.
 
Nimemgundua Machali kuwa yuko brainwashed baada ya kuona haongelei kabisa kuwa matatizo ya nchi hii yanachangiwa pakubwa na ccm na watawala, bali shutuma zote ni kwa cdm.
Ni ajabu kwake yeye ambapo ni mbunge wa kuchaguliwa kuongea kwa maelekezo ya Mbatia mwenye ubunge wa fadhila!
 
machali kaongea vizuri tu,kuweni wakweli kwa watu neutral kama mimi nimependa alivyotoa hoja zake!
 
machali kaongea vizuri tu,kuweni wakweli kwa watu neutral kama mimi nimependa alivyotoa hoja zake!

ni hizo alizosema mlta uzi huu ama wewe umependa zipi?,vinginevyo nawe utakuwa kama huyo machali kwa kusapoti hewa sema unacho sapoti hapa.-
 
amejitahidi na atakuwa mwiba kwa cdm na dk mlemav wao
 
machali kaongea vizuri tu,kuweni wakweli kwa watu neutral kama mimi nimependa alivyotoa hoja zake!

usiposifia Saccos yao hawatakusifia! Kama unataka kusifiwa humu Sifia ile Saccos au mponde JK hata kwa jambo unalokiri moyoni mwako kuwa Ni Uzushi then skilizia mi komment ya '''''''''''''''''makamanda'''''''''''''''''''.
 
machali kaongea vizuri tu,kuweni wakweli kwa watu neutral kama mimi nimependa alivyotoa hoja zake!
Funguka zaidi, hoja zipi umezipenda na kwa nini umezipenda? Unaonekana una point, tiririka mkuu wengine tulikuwa kwenye mgao wa umeme
 
Huyo huwa ni tupu, nilipambana naye 2010 akanipigia salute chuo kikuu SAUT MWANZA, KAZI YAKE NI JAZBA,KELELE NA KUMNUKUU MALCOM X KWA KILA KITU KILA WAKATI NA QUOTATION ILE ILE
 
amejitahidi na atakuwa mwiba kwa cdm na dk mlemav wao

Mchange tafuta kazi ya kufanya siasa ndio basi tena! amini nakwambia hao wanasiasa watazidi kukuhribia maisha!

Ma icon wa siasa kama Lamwai unajua alichofanywa? wewe ni takataka!

Nashangaa Pasco anavyowatetea wakosa adabu kama wewe hata staha huna alafu unataka uongozi!!!
 
hata mimi niliona afadhali wa cuf alijieleza vizuri jana moses alikuwa hajakaa sawasawa.
 
Nimemgundua Machali kuwa yuko brainwashed baada ya kuona haongelei kabisa kuwa matatizo ya nchi hii yanachangiwa pakubwa na ccm na watawala, bali shutuma zote ni kwa cdm.
Ni ajabu kwake yeye ambapo ni mbunge wa kuchaguliwa kuongea kwa maelekezo ya Mbowe mwenye ubunge wa fadhila!

Machali kama Machali hana tatizo......................... bali alichokizungumza ndiyo sera ya chama chake cha nccr mageuzi................... otherwise he knows the reality, kwa kuwa alitumwa kuzungumza hivyo hakuwa na ujanja zaidi ya kuiwakilisha chama.
That is NCCR-MAGEUZI
 
Back
Top Bottom