Mbunge Masache awataka waumini kutii mamlaka

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944
Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya, Mhe. Masache Kasaka amewasihi waumini wa dini ya kikristo kusoma maandiko ya kibiblia na kuyatendea kazi ikiwemo agizo la kutii wenye mamlaka na kuwaombea kama viongozi wa dini na Serikali.

WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.21.jpeg

Mbunge Masache amepata nafasi ya kutoa nasaha hiyo aliposhiriki ibada katika kanisa Katoliki Kigango cha Chalangwa, ambapo amenukuu andiko kutoka kitabu cha Tito. 3:1 kinachosema "Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema"

WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.21(2).jpeg

Pia, Mhe. Masache amechangia fedha kwa ajili ya ujenzi wa kanisa unaondelea, huku akisisitiza wanawake wajitokeze kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya Serikali za mitaa.

WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.20.jpeg
WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.21.jpeg
WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.21(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.21(2).jpeg
WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.22.jpeg
WhatsApp Image 2024-03-04 at 11.36.38.jpeg
 
Imeandikwa,

Itiini mamlaka Kwa kuwa IPO kutisha waovu,

Sasa mamlaka kama IPO kutisha wenye HAKI na kushirikiana na wezi, hiyo mamlaka corrupt ni ya kuifukuza kabisa.

Yaani tuitii mamlaka inayotia kura fake kwenye Sanduku la kura?

Msitumie BIBLIA vibaya🙏
 
Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya, Mhe. Masache Kasaka amewasihi waumini wa dini ya kikristo kusoma maandiko ya kibiblia na kuyatendea kazi ikiwemo agizo la kutii wenye mamlaka na kuwaombea kama viongozi wa dini na Serikali.


Mbunge Masache amepata nafasi ya kutoa nasaha hiyo aliposhiriki ibada katika kanisa Katoliki Kigango cha Chalangwa, ambapo amenukuu andiko kutoka kitabu cha Tito. 3:1 kinachosema "Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema"


Pia, Mhe. Masache amechangia fedha kwa ajili ya ujenzi wa kanisa unaondelea, huku akisisitiza wanawake wajitokeze kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya Serikali za mitaa.

View attachment 2924183View attachment 2924184View attachment 2924185View attachment 2924186View attachment 2924188View attachment 2924189
Yesu mwenyewe wanayemuamini hakutuu mamlaka ya Warumi hadi wakamuua akasome maandiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom