lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,421
- 25,647
Hongereni kwa kumpokea super mnyika..Kila akipiga mahesabu nafsi yake inamwambia hapana, Lowasa ni fisadi na atabakia hivyo, matatizo makubwa yanayoikumba nchi yetu yamesababishwa na fisadi Lowasa&Co.
Super Mnyika anasepa hivyo...
Pia naomba uendelee na hiki kibwagizo cha super mnyika!!