Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Florent Kyombo, tarehe 24 Julai, 2023 ameendelea na ziara yake ya Jimboni.
Katika ziara yake amehudhuria Mkutano wa ndani wa CCM Kata ya Bugolola na kugawa vitendea kazi kwa Viongozi wa CCM Kata.
Pia Mhe. Florent Kyombo amefanya Mkutano wa hadhara na kusikiliza kero za Wananchi wa Kata ya Bugolola iliyopo Wilayani Missenyi, Mkoa wa Kagera.
Katika ziara yake amehudhuria Mkutano wa ndani wa CCM Kata ya Bugolola na kugawa vitendea kazi kwa Viongozi wa CCM Kata.
Pia Mhe. Florent Kyombo amefanya Mkutano wa hadhara na kusikiliza kero za Wananchi wa Kata ya Bugolola iliyopo Wilayani Missenyi, Mkoa wa Kagera.