Mbunge Lucy Mayenga apata ajali!

Mbona hakuna merital status kwenye hiyo cv? dont tell me mtoto kama huyo hajaolewa!!
Niambie mapema kabisa nisije nikachoma mafuta bure tafadhali.

nani aoe kitu used hicho...
 
Alishawahi olewe na jamaa fulani hivi! miaka ya 90s nijuavyo aliachika!
 
Kama safari ilikuwa ya kikazi kwa nini aendeshe mwenyewe, si aajili dereva jamani!!! hata kusema pole tunashindwa sasa.
 

You are damn right!
Katiba ya jamhuri inamruhusu raisi kuteua wabunge 10 wa viti maalum. Wengine pia wanaingia bungeni kwa kuteuliwa na vyama vyao kulingana na wingi wa kura ambazo chama kilipata wakati wa uchaguzi mkuu, mfano wake Halima Mdee wa Chadema. Ni wengi sana hawa.
 
Dah mzuri sana kwa sura.
Sijawahi mwona akichangia bungeni wala kumsikia wenzangu vp anamchango gani huyu kwa taifa?
Weka picha yake tuone huu uzuri wake
 

Akili yako bana kweli jembe km Mdee liwe vitimaalum .tokaaa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…