nimesema kwa wapenda haki sio wapenda sheria lijualikali ndio bado ni muhalifu. sheria ndio inamtoa jela sio haki. kuna watu hapa jf wamenitukana hadi matusi eti sijui sheria. ni kweli mimi sio mwanasheria japo nina elimu ya juu pengine kuwashinda. nilichosema kwa wapenda haki lijualikali is still a criminal because he was not found innocent for the crime he was found guilty by a lower court. najua wanasheria watasema 'huyu jamaa ni mshenzi' imagine lijuakali angeshtakiwa mbele ya baraza la wazee wa kijadi (kabila lolote la) ushahidi ndio ingekua muhimu wala sio ujazaji wa fomu yoyote. mahakama kwa kisingizio cha procedures inawaachia crooks kama lijualikali.