Chanzo cha yote hayo ni mkakati uliopangwa na CCM kumzuia LijuaLikali kuingia ktk kikao ambacho yeye alikuwa mjumbe halali kwa kuwatumia polisi....
Kwa lugha nyingine waliopaswa kufungwa jela kwa uhalifu ni hawa waliotanda ktk mlango wa kuingilia ktk ukumbi wa mkutano kumzuia mjumbe halali wa kikao kile kisheria.....
Wahalifu hawa si wengine bali ni aliyekuwa mwenyekiti wa kikao kile na aliyetoa amri kwa polisi kumzuia LijuaLikali pamoja na polisi wenyewe wa Kilombero........ hao ndiyo wahalifu !!
Kwa lugha nyingine pia, ni kuwa, hata huyo mwenyekiti wa Halmashauri hiyo aliyechaguliwa ktk kikao kile cha uchaguzi si halali kwa kuzingatia maelezo ya maamuzi haya ya mahakama kuu !!
Mwisho kabisa, mhalifu mwingine hapa anayestahili kwenda jela, ni wewe mleta mada !!