Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

wamewekeza nguvu kubwa katika kumwinda, kumvamia na kumkamata Mheshimiwa Mbunge wa Arusha Mjini (Godbless Lema) kuliko hata nguvu watumiayo kumsaka muuaji wa marehemu mwanachuo wa chuo cha uhasibu Arusha. Daaaah...

mkuu cyo kosa lao wanatekeleza maagizo ya mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ambaye naye anatekeleza maagizo ya aliyemchagua.kumbuka according to rule#1 boss is always right na polisi ni kosa kugomea order ya mkuu
 
mkuu cyo kosa lao wanatekeleza maagizo ya mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ambaye naye anatekeleza maagizo ya aliyemchagua.kumbuka according to rule#1 boss is always right na polisi ni kosa kugomea order ya mkuu
Mkuu ndani ya Jeshi lolote kugoma kutekeleza amri halali ya kiongozi ni uasi, hebu jiulize amri ya Leberatus isipotekelezwa ina maana askari hao wameasi tayari.
Kwa hiyo naungana na wewe si makosa ya mtekelezaji bali mtoa amri
 
Kwa mawazo yao yawezekana wanahis lema anamjua muuwaji,
 
MODS: MAUDHUI YA POST YA VITUKO VYA POLISI HAYAHUSIHANI NA HII YA LEMA, UMEKURUPUKA KUI-MOVE. Umekosea.
 
Katika kufuatilia yaliyojiri kwa Mhe. Lema, kuna vitu kadhaa ninashindwa kuvielewa. Kosa la Lema linalosisitizwa liko katika muktadha wa kuwachochea wanachuo wa IAA-Arusha.
1. Mkuu wa Mkoa akatoa amri ya Mhe. Lema kujisalimisha Polisi. Kwanini amri hiyo isitolewe na RPC? Na kama kwa RPC ni sahihi, je DC dhidi ya OCD inaweza kuwa sahihi pia?

2. Kwanini Polisi wamekwenda kuchukua vitu kadhaa vya Mhe. Lema wakati wanajua havina ushirikiano wa moja kwa moja na makosa wanayomtuhumu?
Emanzi said:
... Sasa
wanasearch kila sehemu, laptop,
ipad, simu vipo mikononi mwa
police.
 
Kwanza chuo siyo TIA ni AIA. Mengine kuna walakini hasa jinsi alivyokamatwa.
 
Kwa akilizi zake zilivyo ndogo, Mh. Lema ni mtu hatari kwa usalama wa watu. Huwezi jua ni kitu gani atafanya sekunde chache zijazo.
 
Nawasikitikia sana Polisi , Kumweka selo Waziri wa Mambo ya Ndani !
 
Kwa akilizi zake zilivyo ndogo, Mh. Lema ni mtu hatari kwa usalama wa watu. Huwezi jua ni kitu gani atafanya sekunde chache zijazo.

vp madiwani wenu majambazi na wale mawaziri wa Magamba wauza Unga.?
 
Kwa akilizi zake zilivyo ndogo, Mh. Lema ni mtu hatari kwa usalama wa watu. Huwezi jua ni kitu gani atafanya sekunde chache zijazo.

Inaelekea unajua mengi, hebu tuorodheshee matukio angalau 10 tu ya hatari aliyoyafanya Mhe. Lema toka mwaka jana hadi mwaka huu. Kama haitoshi ongeza matatu aliyofanya mwezi wa Machi tu; ambayo unafikiri yanahatarisha amani na usalama wa watu.
 
Kwa akilizi zake zilivyo ndogo, Mh. Lema ni mtu hatari kwa usalama wa watu. Huwezi jua ni kitu gani atafanya sekunde chache zijazo.

ni kama wewe hakuna anayejua ni pumba gani utamwaga kila baada ya sekunde tano,ila Lema anawatesa sana magamba kama nyie Sumu
 
Last edited by a moderator:
mnabishania jina,sisi muuaji tunaye selo na tutampeleka jela siku si nyingi

Na wewe ujiandae kwenda huku baada ya ukombozi 2015. Lema huko jela ameshakaa sanaa kazi bure tu na mulongo atambue watu wameshajitambua sanaaaa

Ref. To Barolo mwanza...., najua sasa ana walinzi 6 Ila ipo siku tu.
 
Back
Top Bottom