Mbunge Joshua Nassari anusurika kupigwa na wananchi wa eneo hilo la Usariver

Dah nilikuwa sijaangalia tarehe na mwaka wa Post hii.! kumbe B7 ilikuwa haijasajiliwa vizuri!
 

Hii taarifa ni ya kuchonga kwa mjibu wa Rb ya polisi tukio liliripotiwa mwaka2012 mwaka ambao tukio lilitendeka imekuwaje hizi taarifa zikaletwa sasa?.Au ndiyo kusema kuwa zilikuwa jikoni kuivishwa?.Halafu hili tukio limepelekwa polisi ambao wanawajibika kuthibitisha hilo tukio inakuwaje katibu wa CCM ndie awe muthibitishaji?.
 
Nassari ukirudia tena Mara ya tatu jambo baya litakutokea, chukua tahadhali.
 
Privatus Karugendo

Wapendwa sherehe za Mzee Pius Ngeze, kutimiza
miaka 70, zimefana. Tulianza kwa Ibada ya Misa,
Iliyoongozwa na Mhashamu Askofu Medhodius
Kilaini, Kanisa Kuu la Bukoba, baadaye jioni
sherehe ya kumpongeza na kuzindukia kitabu juu
ya maisha yake. Kwa taarifa zaidi tembelea
mtandao wa Bukobawadau, na JAMCO Bukoba
Blog.

Jumapili njema,

Padri Privatus Karugendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…