Jifunze kutumia ubongo wako sawasawa na sio kupayukapayuka na kutoa mapovu.huyu dogo nae vipi kama ni kweli amewahamasisha kufanya ivo amefanya kosa, yabid awekwe chini akaangwe.
anahitaji awe na busara tumechoka na vurugu za hapa na pale tunategemea watu wa chadema kuwa na busara na kuact kwa busara
acha uhuni dogo
Jifunze kutofautisha kati ya propaganda na ukweli kabla ya kutoa maoni yako.
Hii ni full propaganda, ni sawa na mtu aje humu JF na kudai JK kakamatwa akiiba kuku
huko Bagamoyo na wewe uanze kuropoka na kushauri kuwa achomwe moto.