PostGE2025 Mbunge John Nzilanyingi: D9 hakuna maandamano Mwanza tunakula bata

PostGE2025 Mbunge John Nzilanyingi: D9 hakuna maandamano Mwanza tunakula bata

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mwanza, John Nzilanyingi akizungumza na vijana wa jimbo hilo amesema hakuna maandamano yatakayofanyika Disemba 9, 2025.

"Tarehe 9 hakuna maandamano, Natamani tutume ujumbe kwa mabeberu ambao wanataka kutuchonganisha vijana wa jiji la Mwanza wamekataa maandamano zaidi ya yote wamechagua haki na utulivu ndani ya Jimbo letu, ndugu zangu Jimbo la Nyamagana hakuna kuandamana isipokuwa tunakula bata"- Amesema Mbunge John Nzilanyingi


 
Mmeuwa watu elfu 23 plus,unakibuli gani cha kuongea hivyo??,mmezika miili ya wapendwa wetu kama kuku waliokufa na kideli,bado mkawanyima watu kuzika miili ya wapendwa wao,mkapola uchaguzi,bado mnateka,mnabaka,mnalawiti,mnafira na mnauwa,hivi nyinyi ni wanyama au majini??
 
Usiwaamin sanaa hao vijana..soon utakumbana nacho...uliza wadudu wa Arusha wako wap?
 
CCM inatengeneza kizazi cha ufisadi, huyu dogo alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDOM 2015 badae alikuja kutuhumiwa kuiba hela za wanafunzi na kununua Premio na hivyo kupinduliwa na Mpandalume. Ajabu CCM imenpitisha kuwa mbunge haramu.
 
Yaani kuna watu hata kuzika hawajazika yeye anaongelea bata? Ngoja wamuoneshe bata linavyokuwa.
 
Mabeberu ndo yanateka watu
Mabeberu yanafanya chaguzi za chama kimoja.
Mabeberu yaliua watu tarehe 29.
Mabeberu hayaajiri vijana.
Mabeberu yanabambikizia wapinzani kesi
Mabeberu yalifunga makanisa ya Gwajima.
Mabeberu hayataki kukosolewa.
 
Back
Top Bottom