TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Troll IF unalo, jamaa (siyo mvulana) amekanusha kuwa hajajiudhulu wadhifa wake.
===
Moderators wataliweka sawa hili.
===
Moderators wataliweka sawa hili.
Ni wazi umetumwa na aliyekutuma tunamjua mwambie missien failed
Una uhakika mnasonga mbele?!Barua haina sahihi wala muhuri?
hata sahihi tu mmeshindwa kufoji ha ha ha....View attachment 644771
More to follow:
----------------------
John mnyika akanusha Uvumi
Mnyika akana uvumi kwamba amejiuzulu
Kazibeni kwanza expansion joint Chadema hamuiwezi.Ngoma inogile chadema lazima wanyooke walishangilia sana usajili wa Nyalandu ccm wanasajili mkoa
Hivi hii taarifa kama si ya kweli utaendelea na msimamo wako huu?ondoka brother! na kibamba 2020 bora tuwape CUF kuliko wewe hakuna ulilofanya huku..
cha ajabu zaidi ni bora tungekuona hata ukiwa unapiga kelele kuwatetea watanzania kwa ujumla wao, kama TL hata wao tu uko kimya ati leo ndo unagundua kuja kututumikia ina maana kule ulibanwa sana ama,!! we nenda tu hata mbowe akiondoka sisi tutabaki, kuendeleza chama...tulipofika sasa kama ni mpenda nchi hii huwezi kuwa kigeugeu, na kama unamuunga raisi kwani nilazima uondoke kwenye chama chako?
mtaondoka woote mi nitakuwa wa mwisho kabisa kuondoka.
Mkuu ulisema umejitoa kwenye mambo ya siasa mbona unawashwawashwa au wamefika bei tena ukaona urudiView attachment 644771
More to follow:
----------------------
John mnyika akanusha Uvumi
Mnyika akana uvumi kwamba amejiuzulu